Ila uongo mwingine du, hata ibirisi anaweza kukukataa kuwa ww umezidi! Mungu tusamehe sisi wakosefu!Acha tu mkuu kila mtu muongo hata wewe muhimu kutubu tu.
Wazo zuri ila siwezi kuchonga na bursar akanirejeshea nikimpa cha
Ex wake popote ulipo situka😜! Na alifanya vyema kukuacha ww kiongo ongo namna hiyo😜!Ni ya Ex yupo Zanzibar
Bursar popote ulipo stuka😜!Wazo zuri ila siwezi kuchonga na bursar akanirejeshea nikimpa cha juu?