Je kabla ya Adam na hawa kuumbwa kulikuwa na watu wengine ambao tayari walikuwa wanaishi Duniani?

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,145
11,186
Katika kitabu chwa mwanzo Sura ya 4 katika mstari wa 15-16 Biblia inasema kuwa baada ya Cain mtoto wa kwanza wa Adam kumuuwa nduguye Habili ambaye ni mtoto wa pili wa Adam Mwenyezimungu alimfukuza Cain katika Ardhi ile hivyo Cain akahamia katika Nchi na Enodi iliyo mbele ya Edeni

Na huko katika Nchi ya Nodi Cain alikuta watu wanaishi hivyo akampata mke na kuzaa nae

IMG_20190131_132059_798.jpeg


Je hawa watu waliokuwa wanaishi katika hii nchi ya Nodi walitokea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda katafute nchi ya Nodi ilikuwa wapi then waulize wenyeji usiamini kila neno fanya uchunguzi
 
Binadamu wa kwanza anapatikana Tanzania Kule Arusha mabaki yapo makumbusho na nyayo zipo za binadamu wa kale kule N'gorongoro..Wewe uoni N'gorongoro imekaa sawia kama Eden wanyama walio tajwa wote wapo sasa kama Eden ilikuwa mashariki ya kati waliishije wanyama wakati ni jangwa mwiasho na muhimu sana baada ya gharika kutokea Safina ilipasukia Maeneo yaliyo karibu na Mikumi ndio maana Tanzania ndio nchi pekee Duniani kumiliki wanyama wengi wa kila aina bila kumsahau Dinosaur aliyekuwepo alimaarufu mjusi wa Mtwara Kutokana sisi tulikuwa weusi na mazingira ayaja alibiwa miaka mil 3 iliyopita watu walisambaa na kubadilika kutoka na hali ya hewa
 
Binadamu wa kwanza anapatikana Tanzania Kule Arusha mabaki yapo makumbusho na nyayo zipo za binadamu wa kale kule N'gorongoro..Wewe uoni N'gorongoro imekaa sawia kama Eden wanyama walio tajwa wote wapo sasa kama Eden ilikuwa mashariki ya kati waliishije wanyama wakati ni jangwa mwiasho na muhimu sana baada ya gharika kutokea Safina ilipasukia Maeneo yaliyo karibu na Mikumi ndio maana Tanzania ndio nchi pekee Duniani kumiliki wanyama wengi wa kila aina bila kumsahau Dinosaur aliyekuwepo alimaarufu mjusi wa Mtwara Kutokana sisi tulikuwa weusi na mazingira ayaja alibiwa miaka mil 3 iliyopita watu walisambaa na kubadilika kutoka na hali ya hewa
M

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom