Je, jumuiya za wakatoliki mitaani zinaruhusiwa kufanya siasa?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,809
141,713
Ninaijua nguvu ya jumuiya za makanisa mitaani na hasa Kanisa katoliki katika mambo ya kiimani na kijamii lakini kwa upande wa siasa bado sijajua.

Jana pametolewa tamko pale Mbeya kwamba jumuiya za katoliki mitaani zianze mchakato wa kuwaangalia watu wanaofaa kuwa viongozi wa serikali za mitaa na udiwani/ ubunge.

Swali ninalojiuliza hawa wanajumuiya wataangalia watu wanaofaa kutoka miongoni mwao au wataangalia " duniani " kote maana isije ikaibuka harufu ya udini na udhehebu mbele ya safari. Niishie hapo!
 
Ninaijua nguvu ya jumuiya za makanisa mitaani na hasa Kanisa katoliki katika mambo ya kiimani na kijamii lakini kwa upande wa siasa bado sijajua. Jana pametolewa tamko pale Mbeya kwamba jumuiya za katoliki mitaani zianze mchakato wa kuwaangalia watu wanaofaa kuwa viongozi wa serikali za mitaa na udiwani/ ubunge. Swali ninalojiuliza hawa wanajumuiya wataangalia watu wanaofaa kutoka miongoni mwao au wataangalia " duniani " kote maana isije ikaibuka harufu ya udini na udhehebu mbele ya safari. Niishie hapo!
Sio sahihi kuna tatizo kugeuza kanisa kujihusisha litaingia shida chukulia kila jumuiya INA MTU wake inayotaka awe diwani au mbunge mchujo unafanyikaje? Hata ufanyike may be navkanisa likampenda Fulani na majina mengine Wakayatupilia mbali umoja wa kanisa utakuwa hatarini au wataruhusiwa kukata rufaa kwa papa?Mchakato wa kuchuja majina utafanyikaje? kanisa ndilo litapeleka majina tume ya uchaguzi badala ya vyama vya siasa?
 
Ninaijua nguvu ya jumuiya za makanisa mitaani na hasa Kanisa katoliki katika mambo ya kiimani na kijamii lakini kwa upande wa siasa bado sijajua. Jana pametolewa tamko pale Mbeya kwamba jumuiya za katoliki mitaani zianze mchakato wa kuwaangalia watu wanaofaa kuwa viongozi wa serikali za mitaa na udiwani/ ubunge. Swali ninalojiuliza hawa wanajumuiya wataangalia watu wanaofaa kutoka miongoni mwao au wataangalia " duniani " kote maana isije ikaibuka harufu ya udini na udhehebu mbele ya safari. Niishie hapo!
Huwa tunaangalia kutoka popote pale. Huwa hatuna nongwa sisi. Ndiyo maana miongoni mwetu akitokea mtu kakosea hata awe kiongizi huwa kwanza tunamvumilia, pili tunamuombea then tutamkabili kivyovyote hata ikibidi kumvua kabisa heshima yake kupitia falsafa/:theolojia na ukweli
 
Sio sahihi kuna tatizo kugeuza kanisa kujihusisha litaingia shida chukulia kila jumuiya INA MTU wake inayotaka awe diwani au mbunge mchujo unafanyikaje? Hata ufanyike may be navkanisa likampenda Fulani na majina mengine Wakayatupilia mbali umoja wa kanisa utakuwa hatarini au wataruhusiwa kukata rufaa kwa papa?Mchakato wa kuchuja majina utafanyikaje? kanisa ndilo litapeleka majina tume ya uchaguzi badala ya vyama vya siasa?

Acha kupotosha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sioni tatizo Kiongozi kuwataka kondoo 'kuwaangalia watu wanaofaa kuwa viongozi..'

Laiti angesema 'chagua watu kutoka dini/dhehebu/kabila ama jinsia Fulani..''

Nami ningeMPUUZA
 
watu wanawatangazia waumini wao fulsa sasa tatizo Linatoka wapi iyo ni taarifa tu
 
Sio sahihi kuna tatizo kugeuza kanisa kujihusisha litaingia shida chukulia kila jumuiya INA MTU wake inayotaka awe diwani au mbunge mchujo unafanyikaje? Hata ufanyike may be navkanisa likampenda Fulani na majina mengine Wakayatupilia mbali umoja wa kanisa utakuwa hatarini au wataruhusiwa kukata rufaa kwa papa?Mchakato wa kuchuja majina utafanyikaje? kanisa ndilo litapeleka majina tume ya uchaguzi badala ya vyama vya siasa?
Hamkumwelewa baba paroko kasomeni tena ujumbe wake.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Screenshot_2018-03-31-16-43-19.png
Takribani week nzima mmekuwa mkiwatusi maaskofu mkiendelea hatutakubali kukaa kmya tunawaangalia kama vijana.
 
Sioni tatizo Kiongozi kuwataka kondoo 'kuwaangalia watu wanaofaa kuwa viongozi..'

Laiti angesema 'chagua watu kutoka dini/dhehebu/kabila ama jinsia Fulani..''

Nami ningeMPUUZA
Askofu Chengula amesema wasiangalie chama ndio nauliza sasa wataangalia nini??!
 
Angalia mzizi wa tatizo mkuu usiangalie matokeo tu, makanisa yanahimiza kila siku waumini wao kudumisha amani, yanatoa huduma za kijamii kama maji, umeme, shule, afya nk. juhudi zote hizi hamsemi kanisa linafanya yasiyo yake....sasa leo ili kumlinda Just Praise Me na chama chemu eti ndo mnasena kanisa linafanya siasa!!
 
Ninaijua nguvu ya jumuiya za makanisa mitaani na hasa Kanisa katoliki katika mambo ya kiimani na kijamii lakini kwa upande wa siasa bado sijajua. Jana pametolewa tamko pale Mbeya kwamba jumuiya za katoliki mitaani zianze mchakato wa kuwaangalia watu wanaofaa kuwa viongozi wa serikali za mitaa na udiwani/ ubunge. Swali ninalojiuliza hawa wanajumuiya wataangalia watu wanaofaa kutoka miongoni mwao au wataangalia " duniani " kote maana isije ikaibuka harufu ya udini na udhehebu mbele ya safari. Niishie hapo!
wewe huna siku nyingi utawachagulia watu majina yanayofanana na kina bashite. punguan wewe
 
Back
Top Bottom