Je, Job Ndugai bado ni Spika?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,779
141,663
Job Ndugai amehudhuria sherehe za kuvunjwa kwa Baraxa la Wawakilishi kilikofanywa na Rais wa Zanzibar mh Sheim.

Ndugai alikuwa amevalia Joho la Spika wa bunge la JMT kama alivyoonekana kupitia luninga ya ITV.

Je, baada ya bunge kuvunjwa Job Ndugai anaendelea kutambulika kama Spika?

Maendeleo hayana vyama!
 
Job Ndugai amehudhuria sherehe za kuvunjwa kwa Baraxa la Wawakilishi kilikofanywa na Rais wa Zanzibar mh Sheim.

Ndugai alikuwa amevalia Joho la Spika wa bunge la JMT kama alivyoonekana kupitia luninga ya ITV.

Je, baada ya bunge kuvunjwa Job Ndugai anaendelea kutambulika kama Spika?

Maendeleo hayana vyama!
Kama Mwambe amemaliza akiwa mbunge, basi na yeye bado ni Spika... Stupid Lawlessness shithole country!
 
Job Ndugai amehudhuria sherehe za kuvunjwa kwa Baraxa la Wawakilishi kilikofanywa na Rais wa Zanzibar mh Sheim.

Ndugai alikuwa amevalia Joho la Spika wa bunge la JMT kama alivyoonekana kupitia luninga ya ITV.

Je, baada ya bunge kuvunjwa Job Ndugai anaendelea kutambulika kama Spika?

Maendeleo hayana vyama!
Kama Mwambe amemaliza akiwa mbunge, basi na yeye bado ni Spika... Stupid Lawlessness shithole country!
 
Job Ndugai amehudhuria sherehe za kuvunjwa kwa Baraxa la Wawakilishi kilikofanywa na Rais wa Zanzibar mh Sheim.

Ndugai alikuwa amevalia Joho la Spika wa bunge la JMT kama alivyoonekana kupitia luninga ya ITV.

Je, baada ya bunge kuvunjwa Job Ndugai anaendelea kutambulika kama Spika?

Maendeleo hayana vyama!

Tena hata ukimpekua mfukoni utamkuta na ajenda ya kumuongezea Magufuli muda wa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10.
 
Tatizo watu wengi hamjui kua tuanaongoza kwa kutumia makubaliano ya 1977 subiri mpate Katiba.
 
Back
Top Bottom