Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,502
- 156
Mwaka jana mkuu wa nchi alikuwa na mapumziko kwa muda wa siku 5 moja pale sasakwa lodge amabyo iko serengeti,Gharama zake per nite ni $1800,na alikuwa na ujumbe wa watu 25 ambao unajumuisha wapishi wake na walinzi wake pamoja na wasaidizi wa rais na familia yake pia.ukiangalia gharama za malazi tu kwa siku hizo ni sh. $45,000 kwa muda wa siku 5 ni kama $ 225000,Je hizo gharama za mapumziko na Rais ni kwa mfuko upi?
Je mwaka huu kaenda wapi?
Je mwaka huu kaenda wapi?