Je Jk anapumzika wapi kwa kodi yetu huku tukitaabika?

Gembe

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
2,483
159
Mwaka jana mkuu wa nchi alikuwa na mapumziko kwa muda wa siku 5 moja pale sasakwa lodge amabyo iko serengeti,Gharama zake per nite ni $1800,na alikuwa na ujumbe wa watu 25 ambao unajumuisha wapishi wake na walinzi wake pamoja na wasaidizi wa rais na familia yake pia.ukiangalia gharama za malazi tu kwa siku hizo ni sh. $45,000 kwa muda wa siku 5 ni kama $ 225000,Je hizo gharama za mapumziko na Rais ni kwa mfuko upi?

Je mwaka huu kaenda wapi?
 
Umaskini unatuweka mahala ambapo hata Mkuu akienda haja tutauliza leo kaingia choo kipi? Na alipoingia alijisaidia haja kubwa au haja ndogo?Mbona huko UK hawaulizi Brown kapumzika wapi na katumia hela ngapi? Au ndiyo yale yale ya bongo zetu zinavyowaza mambo.Unataka kutwambia Mkuu anaiba?
 
Huku kwa brown mambo yote adharani,wanatumia pesa zao na sio za serikali,tena huwa awana wapambe kama huko bongo,utawaona wakiogelea beach na kula maisha bila kificho.
 
Umaskini unatuweka mahala ambapo hata Mkuu akienda haja tutauliza leo kaingia choo kipi? Na alipoingia alijisaidia haja kubwa au haja ndogo?Mbona huko UK hawaulizi Brown kapumzika wapi na katumia hela ngapi? Au ndiyo yale yale ya bongo zetu zinavyowaza mambo.Unataka kutwambia Mkuu anaiba?

huna uchungu na nchi yako ama hujui ulinenalo ama nawe ni mmoja wao
 
Mwaka jana mkuu wa nchi alikuwa na mapumziko kwa muda wa siku 5 moja pale sasakwa lodge amabyo iko serengeti,Gharama zake per nite ni $1800,na alikuwa na ujumbe wa watu 25 ambao unajumuisha wapishi wake na walinzi wake pamoja na wasaidizi wa rais na familia yake pia.ukiangalia gharama za malazi tu kwa siku hizo ni sh. $45,000 kwa muda wa siku 5 ni kama $ 225000,Je hizo gharama za mapumziko na Rais ni kwa mfuko upi?

Je mwaka huu kaenda wapi?

Kama hizi figures ziko sawa dollar 225,000 ni hela nyingi sana kwa nchi masikini.Chukua hesabu ndogo tu mtu wa kawaida, mfanyakazi wa serikali analipwa kiasi gani kima cha wastani halafu uniambie kuna mishahara mingapi ya wafanyakazi wa serikali kwa mwaka mzima.

Au hata yeye mwenyewe JK, ina maana anatumia more kwenye likizo kuliko anavyo earn? Au kwa sababu ni pesa za umma? ingekuwa kampuni ya babae na madeni yote tuliyonayo angediriki?

Alivyokuwa foreign kuna wazee walikuwa wansema sana alivyokuwa anatumia pesa vibaya kutanua.Tukawakanya watu chonde chonde wasimchague urais (urahisi?) hawakusikia wakatuona wazushi, sasa tunaona wenyewe.
 
Mwaka jana mkuu wa nchi alikuwa na mapumziko kwa muda wa siku 5 moja pale sasakwa lodge amabyo iko serengeti,Gharama zake per nite ni $1800,na alikuwa na ujumbe wa watu 25 ambao unajumuisha wapishi wake na walinzi wake pamoja na wasaidizi wa rais na familia yake pia.ukiangalia gharama za malazi tu kwa siku hizo ni sh. $45,000 kwa muda wa siku 5 ni kama $ 225000,Je hizo gharama za mapumziko na Rais ni kwa mfuko upi?

Je mwaka huu kaenda wapi?

Ndugu una uhakika na hizi gharama? Hiyo ni Serengeti ya Bongo ama ya mahali pengine? Sijawahi kuona hoteli bongo yenye gharama hizo, kama kuna watu huku wanajua watusaidie. Hebu tuwekee hata invoice moja hapa (si lazima iwe hiyo aliyotumia mwungwana JK), kututhibitishia kuwa kweli hiyo ndio bei yake.
 
huna uchungu na nchi yako ama hujui ulinenalo ama nawe ni mmoja wao

Nasema hivyo kwa sababu hakuna uthibitisho wa madai ya matumizi hayo.Ni hulka ya masikini kubuni vitu ili mradi alalame tu.Kama ni kweli angetupa data za uhakika.uzushi kwa sababu una chuki na Mkuu hauna maana.Lete ushahidi hapa nitakuunga mkono lakini lawama zisizokuwa na kichwwa wala miguu...no bwana...
 
SASAKWA LODGE


Set on a hill above the rolling hills of the Serengeti

7 luxury cottages all en suite with bath, shower and dressing room

Each cottage has private living room, verandah and infinity pool
Host of exciting activities, including a spa, equestrian centre, archery range & game drives

Sasakwa, the flagship lodge of Grumeti Reserves, is set high on a hill above the rolling plains of the Serengeti with spectacular views. With its elegant architecture and exquisite furnishings, the lodge is reminiscent of the early 1920’s. The long sweeping verandahs, beautifully appointed drawing rooms, fine antiques and works of art at Sasakwa truly reflect the exceptional style of a former era. Enjoy the fine cuisine in the beautiful dining room where shimmering silver candelabras, Stuart crystal and Wedgwood china compliment the mighty backdrop of the African bush.

Accommodation consists of seven luxurious cottages offering between one and four bedrooms, all en suite with bath, shower and dressing room. Each cottage also has a guest toilet, private living room, veranda with Swarovski spotting scope, garden and heated infinity plunge pool. The lodge areas offer a dining room, bar lounge, games room with satellite television, DVD player and library, Playstation and board games, and garden room opening onto wide wrap round verandas, as well as a library, billiards room, wine cellar, and Colonial Trading Post. A unique facility of the lodge is the spa, featuring a steam room, relaxation area, hydrotherapy tub, gymnasium, yoga room and two therapy rooms for treatments. Many treatments can also be conducted in guest cottages. A heated infinity swimming pool and Jacuzzi are located alongside the Spa.

There are sixteen horses at the Equestrian Centre, a combination of polo ponies, part thoroughbreds and warm blood sport horses. All equestrian activities are led by professional, fully qualified horse guides. Tennis can be enjoyed at the Sports Pavilion, with a choice of court surfaces – artificial clay and rebound ace. Other professionally guided activities include game drives in open vehicles, walks, night drives, mountain biking and archery. At Sasakwa lodge there really is something for everyone.

Sasakwa Lodge may be booked on an exclusive basis and will accommodate up to 28 individuals. Total cost per night is $42000 which accommodates up to 28 individuals.
 
Ndugu una uhakika na hizi gharama? Hiyo ni Serengeti ya Bongo ama ya mahali pengine? Sijawahi kuona hoteli bongo yenye gharama hizo, kama kuna watu huku wanajua watusaidie. Hebu tuwekee hata invoice moja hapa (si lazima iwe hiyo aliyotumia mwungwana JK), kututhibitishia kuwa kweli hiyo ndio bei yake.

Kithuku,Kama jana uliangalia thread mojawapo niliweza kujibu hili baada ya Admin kung'oa hii maada.Asante Invisible kwa kuirudisha.
ndio matumizi ya Viongozi wetu,Kupenda Maisha Ya kifahari.mkwa usiku Mmoja kwa Gharama za Kawaida ni $1500.Maji moto katoa na Link hapo.

Pili Mkuu kaenda kupumzika na katuachia balaa la kupandishwa kwa Umeme
 
sasa wewe ulitaka aende wapi,na uwezi kuhoji preveleges za rais bwana ni haki yake uspende kujilinganisha nae ndg hoji mambo mengine reasonable kwa hili skuungi mkono,wacha apumzike amebeba majukumu makubwa ya nchi!His word can destroy the whole precess or can make it better
 
tatizo kubwa naisi sio matumizi makubwa ndio maisha halisi ila tatizo ni uwajibikaji wao ktk mamlaka waliopewa,laiti wangekuwa strict ktk kazi zao,means no rushwa hata wakistarehe no problem,lakini inauma kama unaenda kustarehe wakati umefanya kazi madudu.
 
sasa wewe ulitaka aende wapi,na uwezi kuhoji preveleges za rais bwana ni haki yake uspende kujilinganisha nae ndg hoji mambo mengine reasonable kwa hili skuungi mkono,wacha apumzike amebeba majukumu makubwa ya nchi!His word can destroy the whole precess or can make it better

Ishengoma,
Tatizo si kwenda wapi,Je kuna Haja gani kwa Rasi kutumia gharama kubwa kiasi hicho wakati asilimia 80 waliompa kura wakitaabika?
huujui uchungu wa nchi hii ndio maana unatoa maneno hayo yasiyo na chembe ya hoja,
Akapumzike ?amebebea majukumu mazito?yapi?amebeba mafisadi kama kina Rostam,amewakumbatia kina karamagi na kina Mnyang'ayanyi,ametudhalilisha kwa kuishi maisha yasiyofaa..maisha yasiyo Bora,
aliyekutuma uje na hoja dhaifu hapa ameshikwa pabaya.na Nakuonya Mwana wa Kitanzania,Dhambi ya kutetea Ufisadi itakupeleka Motoni sababu Ufisadi ni dhambi!
Tunaendelea kumkoma Nyani giladi mchana kweupe mpaka kieleweke.

Mkombozi
Kada Wa Chama Cha Mapinduzi
CCM SIO MAMA YANGU
 
Ishengoma,
Tatizo si kwenda wapi,Je kuna Haja gani kwa Rasi kutumia gharama kubwa kiasi hicho wakati asilimia 80 waliompa kura wakitaabika?
huujui uchungu wa nchi hii ndio maana unatoa maneno hayo yasiyo na chembe ya hoja,
Akapumzike ?amebebea majukumu mazito?yapi?amebeba mafisadi kama kina Rostam,amewakumbatia kina karamagi na kina Mnyang'ayanyi,ametudhalilisha kwa kuishi maisha yasiyofaa..maisha yasiyo Bora,
aliyekutuma uje na hoja dhaifu hapa ameshikwa pabaya.na Nakuonya Mwana wa Kitanzania,Dhambi ya kutetea Ufisadi itakupeleka Motoni sababu Ufisadi ni dhambi!
Tunaendelea kumkoma Nyani giladi mchana kweupe mpaka kieleweke.

Mkombozi
Kada Wa Chama Cha Mapinduzi
CCM SIO MAMA YANGU

Hilo tu mkuu,

Japo wewe ni kada mkereketwa lakini maslahi ya taifa mbele..., tafadahali wafikishie makada wenzio ujumbe!
 
Back
Top Bottom