Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Tukiachana na tereza wa kule Kigoma ambao ni wanaume ambao walikuwa wakitembea uchi usiku huku mwili mzima wakiwa wamejimiminia mafuta ya mawese kisha kwenda kwenye majumba ya watu, kuvunja milango na kisha kuwaingilia wanawake kimwili, ambapo mwanamke akishtuka hutoka mbio na hawakamatiki kirahisi kwasababu ya mafuta ya mawese waliyojimimia.
Kuna hii habari nyingine ambayo ilivuma sana siku za nyuma mitaa ya Uswahilini ambapo popobawa alikuwa akiwaingilia watu na kuwaachia mijimbegu mizito ya kiume yenye joto.
Pia kuna majini mahaba huwaingilia watu, yaani ghafla bin vuu unajikuta tayari uko kwenye huba zito na jibaba la Kiarabuarabu hivi, mara lishakugonga msumari na kukuachia not kadhaa, na mengine yanakuacha tu na janaba lako ukajisafishe kwa maji, na sabuni uliyonunua kwa hela yako.
Pia kuna wachawi, mathalani, mtaani kwetu kuna zee moja mabinti wanalalamikia sana kwamba linawaingilia ki shababi mabinti mtaani.
Sasa hapa mtaani kuna mabinti kama wanne wote wana watoto wanaofanana sana na yule babu, wanadai aliwapa mimba kwa kuwaingilia kichawi, wataalam je hiii ina wezekana kweli?
Kuna hii habari nyingine ambayo ilivuma sana siku za nyuma mitaa ya Uswahilini ambapo popobawa alikuwa akiwaingilia watu na kuwaachia mijimbegu mizito ya kiume yenye joto.
Pia kuna majini mahaba huwaingilia watu, yaani ghafla bin vuu unajikuta tayari uko kwenye huba zito na jibaba la Kiarabuarabu hivi, mara lishakugonga msumari na kukuachia not kadhaa, na mengine yanakuacha tu na janaba lako ukajisafishe kwa maji, na sabuni uliyonunua kwa hela yako.
Pia kuna wachawi, mathalani, mtaani kwetu kuna zee moja mabinti wanalalamikia sana kwamba linawaingilia ki shababi mabinti mtaani.
Sasa hapa mtaani kuna mabinti kama wanne wote wana watoto wanaofanana sana na yule babu, wanadai aliwapa mimba kwa kuwaingilia kichawi, wataalam je hiii ina wezekana kweli?