Chief nikopeshe mtaji wa laki tatu nakurudishia mwakaniMutu ya mapesa hapa,
😘Nothing serious
Hahaaa haya bana
Mi ninashida na hiyo Avatar yako tu Chiefkumbe ndio wewe mkuu kudos, ulikuwa muongomuongo sana enzi zile.
Kwa hiyo wewe hata demu akitongozwa unachukiami kama lilivyo ndivyo linavyomaanisha na ndivyo nilivyo sina nyongeza
Mjina na Avatar havihitaji maelezo kabisaDah........