Nakupa kitengo cha upeleleziHuu uzi mtamu sana, maana nimeona ID za wanajf wenzangu majina yao ya zamani na mapya
Mbona Mimi nimelielewaNilitamani kuwa na jina moja unique ambalo hakuna atakayelielewa likatokea hili
Kamanda unapenda kusoma vitabu...???Tupe vitabu unavyosoma tuongeze maarifa
1.Zero to One by Peter thiel with Blake masters-Tupe vitabu unavyosoma tuongeze maarifa
Ni kweli kabisa Mkuu, I'm one of the soccer fans this country ever producedUtakuwa mpenzi wa soka Mkuu.
me na jinsia mbili
Napenda mno kusoma vitabu ni moja kati ya kilevi changu..Kamanda unapenda kusoma vitabu...???
Maana walio wengi WaTanzania hatuna utamaduni huo hasa vijana kama mimi.
Napenda mno kusoma vitabu ni moja kati ya kilevi changu..Kamanda unapenda kusoma vitabu...???
Maana walio wengi WaTanzania hatuna utamaduni huo hasa vijana kama mimi.
Toka jana najaribu kupandisha softcopy nashindwa,kama unaweza waweza kunielekeza ni vipandishe hapa.Ndugu Alisina nashukuru mnooo kwa listi ya hvo vitabu, pia kama una softcopy ya kitabu chochote niambie nikupe e mail yangu unitumie au Watsap number
Tumia browser itakua rahis kwako au pc kuna sehem utaona wameandika Attach file/Upload pakliki hapoToka jana najaribu kupandisha softcopy nashindwa,kama unaweza waweza kunielekeza ni vipandishe hapa.
Tupamoja Mkuu.
Tayari nimepoana paku'attach file kwa kutumia App.Tumia browser itakua rahis kwako au pc kuna sehem utaona wameandika Attach file/Upload pakliki hapo
Tumia browser itakua rahis kwako au pc kuna sehem utaona wameandika Attach file/Upload pakliki hapo
Safii endelea kunishushia mkuuTayari nimepoana paku'attach file kwa kutumia App.
Zero to one by Peter thiel with BlakeSafii endelea kunishushia mkuu