FRANCIS DA DON JF-Expert Member Sep 4, 2013 36,052 40,715 Dec 9, 2016 #1 Assumimg Tanganyika inatimiza miaka 500 ya uhuru, hivi kuna uwezekano bado tukawa tunaitwa third world country?
Assumimg Tanganyika inatimiza miaka 500 ya uhuru, hivi kuna uwezekano bado tukawa tunaitwa third world country?
Cannabis JF-Expert Member Jan 20, 2014 8,938 25,279 Dec 9, 2016 #2 Nina wasi wasi tunaweza tukawa tumefutika kwenye ramani ya dunia ama hatutakuwa tena taifa huru
Jaby'z JF-Expert Member Jan 15, 2013 4,296 7,603 Dec 9, 2016 #3 dunia itakua ishaisha kitambo mkuu haya yanayotufanya tuishi kama mashetani ndo yatakua kuni kule motoni
dunia itakua ishaisha kitambo mkuu haya yanayotufanya tuishi kama mashetani ndo yatakua kuni kule motoni
R Mbuna JF-Expert Member Dec 30, 2015 2,278 5,319 Dec 9, 2016 #4 Mkuu hiyo miaka tutaitwa taifa zee masikini kwani wewe haujawahi kuona mtu anazeeka na umasikini wake? So na Tanganyika itazeeka na u third world country wake.
Mkuu hiyo miaka tutaitwa taifa zee masikini kwani wewe haujawahi kuona mtu anazeeka na umasikini wake? So na Tanganyika itazeeka na u third world country wake.