so law
Senior Member
- Dec 24, 2018
- 101
- 269
Najiuliza isarael ana nguvu gani kijeshi kuzidi Taifa kubwa la marekani..? Na marekani ana lengo gani mpka kununua mitambo ya kujikinga na mabomu kutoka Israel .. Kwa hulka ya marekani anavopenda kuonekana yuko top kwa kila kitu.. Imekuwaje mpka anataka ujuzi mwingine kutoka Israel..!? Wajuvi wa mambo tafadhali mnijuze
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app