Je, Iran inaweza kugeuza Aircraft Carrier za USA kuwa Shipwreck?

Bahati mbaya silaha zao hazikuweza kumlinda kamanda wao kule Iraq, wakaishia kurusha vi rocket vyao,

Russia mpaka leo haamini Kama Alaska ni Mali ya USA japo ni Jimbo lake lakini hafikirii kutia pua kwenda kulichukua

USA ni habari nyingine.
We unazungumzia Alaska, Alaska Russia waliiuza mwaka 1859 kama sikosei, waliiuza kwa USA.
Russia amejimilikisha sayari ya Venus, acha jimbo hilo la Alaska wao wamejimilikisha sayari kwamba ni ya kwao :)..na wametangaza ni ya kwao.
 
Fact zipi? Nyie ndo wapumbavu mnaoaminishwa ujinga hiv jiulize kati ya huyu mleta mada na mtengeneza hizo silaha nani anajua kuliko mwenzie? Unafikir hao waliotengeneza hizo silaha za mabilioni hawakujua kama kuna upande wa pili?....wa kujilinda? Umekaa zako madale huko ushavimbiwa ugali wako na siki unaungaunga mkono vitu vya kijinga rubbish
Hebu Soma kwamakin ulichokiandika,, kwahaya maandishi mtu mwenye akili ameshaelewa,
 
We unazungumzia Alaska, Alaska Russia waliiuza mwaka 1859 kama sikosei, waliiuza kwa USA.
Russia amejimilikisha sayari ya Venus, acha jimbo hilo la Alaska wao wamejimilikisha sayari kwamba ni ya kwao :)..na wametangaza ni ya kwao.
Ni kweli aliiuza lkn Kama huna taharifa huko urusi miaka nenda Rudi wameanzisha mjadala namna ya kulikomboa Jimbo hilo iwe kwa mazungumzo au kwa Vita lkn mpaka leo mipango imeishia kwenye makalatasi tu
 
Ni kweli aliiuza lkn Kama huna taharifa huko urusi miaka nenda Rudi wameanzisha mjadala namna ya kulikomboa Jimbo hilo iwe kwa mazungumzo au kwa Vita lkn mpaka leo mipango imeishia kwenye makalatasi tu
Sasa utakuwa ni uchokozi na ukorofi ambao hauna maana, umeuza mali, deal done.
Kama kukitokea mvutano mkali, wanaweza kulimaliza hili suala kidiplomasia kama kuwaambia wanachi wa Alaska wapige kura kuwa chini ya Russia au USA.
Sio kila jambo ni vita tu.

USA mwenyewe amekuwa mjanja siku hizi, ubabe wake ni kwenye sanctions tu, ikitokea noma anaita na chama lake la NATO.

Israel na wenyewe ni wazee wa kuvizia tu, Soleiman ni mkono wa Israel kwa mwavuli wa USA.
Bahati mbaya silaha zao hazikuweza kumlinda kamanda wao kule Iraq, wakaishia kurusha vi rocket vyao,
Ipo hivi, Soleiman sio mara ya kwanza kujiachia alishakataa kusafiri kwa ndege za kijeshi na kusafiri kwa ndege za kawaida za abiria kwenda Iraq, hio ni kuonyesha jinsi alivyokuwa akikubalika na jinsi watu walivyokuwa wanampenda, pia ni ujumbe kwamba haogopi kufa na yeye ni mtu wakawaida kama walivyo watu wengine.


Alikuwa anakwenda kukutana na naibu waziri pale Iraq, ujio wake ulikuwa sio wa kujificha kwani magazeti mengi tu Baghdad yaliandika kuhusiana na ujio wake. Kwa hio alikuwa katika shughuli za kiserikali na sio kwenda vitani.

Huyo sio kama Trump, ni general kweli na hata kwenye vita na ISIS alikuwa sio mtu wa kujificha kwenye nyumba yenye vioo bullet proof na gari inayoweza kuzuia mabomu, kusafiri kwa ndege inasindikizwa na ndege za ulinzi huku unatoa order.

Kuhusu Iran kurusha rocket ni kuwaonyesha USA kwamba base zake pale middle East zinaweza kuwa targeted vyema kabisa na kwa accuracy ya hali ya juu hata kama kuna defense systems.

Iran walifanya hilo jambo kwa umakini sana ili wasiue mtu, katika diplomasia za kimataifa hilo lipo kabisa, unamshambulia mtu pasipo kuua watu.
Pakistan alisha shambulia kwa ndege kwenye ardhi ya India pasipo kuua mtu,
USA alisha shambulia Syria mara 3 pasipo kuua mtu.

USA alivunja sheria, ndio maana Iran walifungua mashitaka, Inapaswa wewe ndio uangalie kwa upana kwa nini USA hakujibu? wakati waliahidi any response toka Iran itapelekea vita kamili.

Lakini badala yake mchezo ukabadilika Iran ndio wakasema any response itapelekea mashariki ya kati kuwaka moto.

Na walipokuja kumuua Fakhrizadeh nani kajitangaza? badala yake USA kapeleka carrier zake gulf kwa uoga.
 
Pinga hoja kwa hoja, povu halisaidii mkuu.

Ebu tuambie kwanini unazani aircraft carrier ya USA haiwezi kuzamishwa na IRAN????

Tunasubiria hoja sio pumba, karibu mkuu.
Iko hiv carrier unayoiona sio rahisi kuishambulia kizembe kama unavyodhani ina mitambo mingi ya kujilinda dhidi ya adui ina mitambo ya kuzuia makombora na ina mitambo ya kutoa tahadhar ya hatar inayoisogelea na isitoshe hiyo carrier huwa haitembei peke yake hata siku mmoja inatembea na zaidi ya destroyer 8 mpaka 10 kulingana na inapoenda(CARRIER STRIKE GROUP) zenye uwezo wa hali juu wa kushambulia target tofautitouti na kwa umbali mkumbwa kabla ya kulifikia hilo carrier tena katika msafara huo ipo mpaka submarine yenye uwezo wa kushambulia popote duniani(ballistic missile) .... Hiv mkuu hata wewe kwa akili ya kawaida hiv inawezakana carrier ya gharama likatembea bila ulinzi wowote tena karibu kabisa na maadui?

Picha chini nimeweka misafara zaidi ya 5 za carrier tofautitouti ikionyesha ikiwa na ulinzi mzito na namna carrier inavyolindwa

IMG_20210122_202218.jpg
IMG_20210122_202218.jpg
IMG_20210122_202149.jpg
IMG_20210122_202127.jpg
IMG_20210122_202049.jpg
IMG_20210122_204218.jpg
1611337296973.jpg
1611337219296.jpg
1611337089767.jpg
 
Hana hoja ye ni kutukana tu..
Iko hiv carrier unayoiona sio rahisi kuishambulia kizembe kama unavyodhani ina mitambo mingi ya kujilinda dhidi ya adui ina mitambo ya kuzuia makombora na ina mitambo ya kutoa tahadhar ya hatar inayoisogelea na isitoshe hiyo carrier huwa haitembei peke yake hata siku mmoja inatembea na zaidi ya destroyer 8 mpaka 10 kulingana na inapoenda(CARRIER STRIKE GROUP) zenye uwezo wa hali juu wa kushambulia target tofautitouti na kwa umbali mkumbwa kabla ya kulifikia hilo carrier tena katika msafara huo ipo mpaka submarine yenye uwezo wa kushambulia popote duniani(ballistic missile) .... Hiv mkuu hata wewe kwa akili ya kawaida hiv inawezakana carrier ya gharama likatembea bila ulinzi wowote tena karibu kabisa na maadui?

Picha chini nimeweka misafara zaidi ya 5 za carrier tofautitouti ikionyesha ikiwa na ulinzi mzito na namna carrier inavyolindwaView attachment 1683679View attachment 1683678View attachment 1683680View attachment 1683681View attachment 1683682View attachment 1683683
IMG_20210122_204218.jpg
View attachment 1683684View attachment 1683685
 
Licha ya uchumi wake mkubwa lakini Bado alichezea kichapo kule Vietnam na akachezea kichapo kule Cuba 😁😁😁😋
Umezikuza mno Urusi na Iran huku ukimpamba zaidi Putin.

Umejaribu kuidunisha USA kwa kuonyesha huenda akashindwa Vita japo ana silaha za gharama, hukuangalia uchumi wake mkubwa unavyoweza kuhimili Vita muda mrefu.

Israel nayo umeiweka kundi moja na hizbullah.

...anyway... shukrani kwa makala.
 
Aisee
Advanced weapons ni silaha za gharama, F-35 ina gharama na ni advanced kwa sifa ilizonazo kuliko su-57 japo zote ni stealth aircraft, lakini kuwa na F-35 ndio kushinda vita?
Hapana, silaha ni bidhaa na watu wanafanya biashara.........biashara ni matangazo.

F-35 kwenye vita usifikiri ni sawa na testing za maabara.

Naweza kuongea mimi ukasema najuaje wakati hata sijawahi kuiona, ni kweli sijawahi kuiona lakini, kuna mzee mmoja anaitwa Pierre Sprey, huyu jamaa amesoma Yale universty masuala ya aeronautical engineering.
Licha ya kusoma hayo masuala amefanya kazi Pentagon, ameshiriki katika designing ya ndege vita F-16 na A-10, naweza kusema hizi ndege zina historia USA, na katika mashine ambazo walibuni hizi mashine zina heshima yake.

Kuna hii ndege inaitwa A-10, acha kabisa, ilibuniwa kufanya mission za close air-support, hii ni bunduki yenye mbawa, askari wa USA walikuwa wakiiona A-10 inakuja, wanaona ni kama malaika ametoka angani kuja kuwasaidia.
Sio kifaru wala gari hii mashine haiangalii, binafsi engineering ya A-10 sio mchezo. Uwezo wake wa kufanya maneuver sio mchezo.
a10-warthog.jpg

A-10


Pierre Sprey anasema huwezi hata siku moja ku-design ndege ambayo itakuwa na uwezo wa kufanya mambo yote, ndege iwe na uwezo wa kufanya close air support, ndege ifanye air to air missions, ndege ya kurusha bombs, iwe stealth wakati huo huo ifanye electronic warfare, anasema its impossible.

Anasema huwezi kupata ndege ya namna hio mwisho wa siku utafeli tu, na hio ndio F-35 inayozungumziwa, anasema hata Mig-21 ile ya miaka ya 60 inaweza kuipiga F-35 vizuri tu.

Akaulizwa vipi kuhusu close air support F-35 ipo vipi, akasema hilo ndilo jambo la kuchekesha zaidi duniani, anasema kufanya close air support lazima uwe karibu na troops, uweze kufanya maneuver, pia kona za taratibu, pia ndege iwe imebeba bunduki kubwa kama A-10 na uweze kukaa katika hilo eneo kwa muda wa karibu masaa 6, je F-35 inaweza?
Nisaiongee sana tazama video yake ina dkk 10 tu.....
ndio maana nasema kuwa na silaha ambazo ni advanced wakati mwingine inakula kwako.......


Msikilize mzee kwa makini, mwishoni anasema hata radar iliyotengenezwa mwaka 1942 inaweza kuona stealth aircraft na amesema kabisa, stealth is scam.

Huyo ni Co designer wa F-16 na A-10.
 
Inamaana zile evidence hauzioni au ndio umezoea kujadili topic kwa mipasho
Umeongea vitu viingi lakini kiushabiki sana....unaona waliotengeneza hizo carrier na hayo mandege ni wajinga sana kuliko wewe wa mtogole unaejifanya unajua hayo mambo wakati hata SMG tu hujawahi kuisogelea....huna unalolijua rubbish
 
Iko hiv carrier unayoiona sio rahisi kuishambulia kizembe kama unavyodhani ina mitambo mingi ya kujilinda dhidi ya adui ina mitambo ya kuzuia makombora na ina mitambo ya kutoa tahadhar ya hatar inayoisogelea na isitoshe hiyo carrier huwa haitembei peke yake hata siku mmoja inatembea na zaidi ya destroyer 8 mpaka 10 kulingana na inapoenda(CARRIER STRIKE GROUP) zenye uwezo wa hali juu wa kushambulia target tofautitouti na kwa umbali mkumbwa kabla ya kulifikia hilo carrier tena katika msafara huo ipo mpaka submarine yenye uwezo wa kushambulia popote duniani(ballistic missile) .... Hiv mkuu hata wewe kwa akili ya kawaida hiv inawezakana carrier ya gharama likatembea bila ulinzi wowote tena karibu kabisa na maadui?

Picha chini nimeweka misafara zaidi ya 5 za carrier tofautitouti ikionyesha ikiwa na ulinzi mzito na namna carrier inavyolindwa

View attachment 1683646View attachment 1683650View attachment 1683652View attachment 1683651View attachment 1683653View attachment 1683656View attachment 1683654View attachment 1683655View attachment 1683657
Yana ulinzi ndio ila ulizi wake haiakikishii usalama wake.
Huo ulinzi wa hali juu mbona umeshidwa kuziona drone Iran zinazo yapiga picha kila kukicha?
 
Sasa utakuwa ni uchokozi na ukorofi ambao hauna maana, umeuza mali, deal done.
Kama kukitokea mvutano mkali, wanaweza kulimaliza hili suala kidiplomasia kama kuwaambia wanachi wa Alaska wapige kura kuwa chini ya Russia au USA.
Sio kila jambo ni vita tu.

USA mwenyewe amekuwa mjanja siku hizi, ubabe wake ni kwenye sanctions tu, ikitokea noma anaita na chama lake la NATO.

Israel na wenyewe ni wazee wa kuvizia tu, Soleiman ni mkono wa Israel kwa mwavuli wa USA.

Ipo hivi, Soleiman sio mara ya kwanza kujiachia alishakataa kusafiri kwa ndege za kijeshi na kusafiri kwa ndege za kawaida za abiria kwenda Iraq, hio ni kuonyesha jinsi alivyokuwa akikubalika na jinsi watu walivyokuwa wanampenda, pia ni ujumbe kwamba haogopi kufa na yeye ni mtu wakawaida kama walivyo watu wengine.


Alikuwa anakwenda kukutana na naibu waziri pale Iraq, ujio wake ulikuwa sio wa kujificha kwani magazeti mengi tu Baghdad yaliandika kuhusiana na ujio wake. Kwa hio alikuwa katika shughuli za kiserikali na sio kwenda vitani.

Huyo sio kama Trump, ni general kweli na hata kwenye vita na ISIS alikuwa sio mtu wa kujificha kwenye nyumba yenye vioo bullet proof na gari inayoweza kuzuia mabomu, kusafiri kwa ndege inasindikizwa na ndege za ulinzi huku unatoa order.

Kuhusu Iran kurusha rocket ni kuwaonyesha USA kwamba base zake pale middle East zinaweza kuwa targeted vyema kabisa na kwa accuracy ya hali ya juu hata kama kuna defense systems.

Iran walifanya hilo jambo kwa umakini sana ili wasiue mtu, katika diplomasia za kimataifa hilo lipo kabisa, unamshambulia mtu pasipo kuua watu.
Pakistan alisha shambulia kwa ndege kwenye ardhi ya India pasipo kuua mtu,
USA alisha shambulia Syria mara 3 pasipo kuua mtu.

USA alivunja sheria, ndio maana Iran walifungua mashitaka, Inapaswa wewe ndio uangalie kwa upana kwa nini USA hakujibu? wakati waliahidi any response toka Iran itapelekea vita kamili.

Lakini badala yake mchezo ukabadilika Iran ndio wakasema any response itapelekea mashariki ya kati kuwaka moto.

Na walipokuja kumuua Fakhrizadeh nani kajitangaza? badala yake USA kapeleka carrier zake gulf kwa uoga.
Hao waajemi una wa overate tu labda size yao wapigane na Iraq au Kuwait sio usa Kwanza Wana science wao wa nuclear Kila kukicha Israel anawaondoa Kama kuku na hamna wanachokifanya Kama wao wanaume tungeshuhudia Israel ikigeuka vumbi

Ukweli ni kwamba hiyo nguvu unayotamba kwamba Iran inayo haina ni maboya tu Kama maboya wengine hapo middle East,
 
Back
Top Bottom