Ng'wanamalundi
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,165
- 1,361
Na kwa wanaume jee? Mbona kuna madaktari wanawake (urologists) ambao nimeshuhudia wakiingiza tyubu kwenye uume (kupitia urethra) kwa wagonjwa wenye matatizo ya kukojoa. Sasa nao wawe madaktari wanaume tu wahudumie wanaume wenzao na wanawake wahudumie wanawake wenzao?Kutokana na sababu mbalimbali za morphology ya mwanamke na vitu vingine vya kibaiolojia, je kuna uhaja wa Serikali kuweka sheria mwanamke atibiwe na daktari wa kike tu hasa kwenye situations ambazo mwanamke ataonyesha utupu wake, kifua n.k.?