protogonist
Senior Member
- Feb 27, 2018
- 179
- 226
Wasalaam,
Kama swali linavyojieleza hapo juu ipi ni pikipiki bora kati ya Haojue na Kinglion kuanzia kimuonekano, speed, kudumu na nguvu.
Pia ipi ambayo imeteka sana soko la tz kati ya hizo pikipiki mbili.
Karibuni tujadili
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama swali linavyojieleza hapo juu ipi ni pikipiki bora kati ya Haojue na Kinglion kuanzia kimuonekano, speed, kudumu na nguvu.
Pia ipi ambayo imeteka sana soko la tz kati ya hizo pikipiki mbili.
Karibuni tujadili
Sent using Jamii Forums mobile app