Je, ingekuwa wewe ungefanyaje? Ushauri wako muhimu sana

Dr.philosophy

Senior Member
Oct 12, 2012
122
27
Habari zenu wakuu..Kwanza kabisa Mimi Ni kijana,mwanafunzi wa chuo Kikuu flani Hapa mjini Dar.nilikuwa na mpenzi wangu ambaye yeye siyo mwanafunzi..Sasa alipata mimba pasipo kutarajia..mimba hiyo anadai kuwa ya kwangu na binafsi nahis Ivo kwa sababu siku ntakutana nae alikuwa siku za hatar..hatukupanga kusex ila niliforce Sana na tukasex na mm nilikuwa nawithdraw wakati wa kukojoa. Sasa baada ya siku kadhaa kupita akawa haoni siku zake na mwishowe ikabidi aende kupima ndipo akaambiwa ana mimba.

Sasa yeye alipojua kuwa ana mimba akapanic akawa anaforce Mimi niende kwao nkajitambulishe na ikibidi nitoe mahali ili kuondoa aibu kwa wazazi wake kuwa amepata mimba bila kuolewa. Na akawa analazimisha Mimi niwaambie home kwa kipindi hicho ambacho mimi nilikuwa field mkoani.. binafsi nkamwambia asubir mpaka nirud dar then nije kwenu Kwanza tujue Cha kufanya kabla sijawaambia home..yeye akawa hataki kuelewa na basi tukawa tutagombana Sana juu ya hilo.

Mwisho wa siku akasema Kama Mimi sieleweki atajua Cha kufanya..nkamuuliza utafanyaje akasema atajua yeye...basi Mimi nkaendelea kumsisitiza kuwa nikirudi ntakuja kwenu..Sasa Kuna siku akanambia kuwa mpaka ntakaporudi ntakuwa nimeshachelewa, nikamuuliza unamaanisha Nini akasema elewa Ivo Ivo.Bas nikiwa namalizia field Kuna siku akanipigia akanambia kuwa Kuna mtu anakuja kwao kujitambulisha na home walipomuuliza kuhusu mimba amesema ya huyo jamaa aliekuja kujitambulisha..

Sasa nikamuuliza kwahiyo umemwambia kuwa una mimba akasema ndiyo na anajua yake..Sasa sijajua kwamba walisex ili huyu binti atengeneze mazingira ya kumsingizia jamaa au vipi.Mpaka navyoandika Hapa huyu binti yupo kwa jamaa wanalea mimba inayodaiwa kuwa Ni yangu...Sasa Mimi Hapo nifanye je wakuu..binti sikuwa na malengo nae Mana dini zetu tofauti na Bora nisingeondoka najua kuwa ana mimba yangu Kama anavyodai isingekuwa tabu ..lakini Sasa najikuta nakosa Raha juu ya hili wakuu..msaada wa mawazo muhim Sana.
 
Mkuu mbona unatatiza!??.....huna malengo nae halafu ameondoka unakosa amani tena kwann!??
 
We vumilia songa na yako,kama ni wako atakueleza baadae inawezekana mlikuwa mnakula wengi kila mtu na ratiba yake na yeye hajui ni ya nani.

Jitahidi utulie mpaka mtoto atakapo zaliwa .

Nina uhakika muda wa kujifungua ukifika ataaga na kwenda kwao ili mtoto akizaliwa ajiridhishe kama ni wa huyo anayeishi nae au mtu mwengine.
 
Halafu ukiona hvyo ujue uwanjani wakati wa penalties alikua anaruhusu wote mpige Sasa na yeye aliona atakayekua wa kwanza kushangilia ndio mwenye goal na wewe ulichelewa kushangilia.....kubali matokeo

Acha jamaa achukue ushindi sababu wewe pia hukua na malengo nae
 
Uandishi tu holah! mimi nimemaliza darasa la saba, sikufaulu lakini ninakushinda mkuu,

Hivi chuo kikuu huwa hamuandiki kwa mkono maana sio kwa huu mwandiko wako hauna hata paragraph wala salutasio.

Imani yangu inaniambia itakuwa ulikuwa unafanya vizuri kwenye Imla au dictation wakati ule wa la tano C
 
Mimba sio yako alitaka akubebeshe tu kwa sababu (mwanachuo) ili avimbe mtaani kazaa na mwanachuo na kama unaona nafsi inakusuta basi subiri ajifungue damu ya mtu haipotei mkuu.

Mungu akikataza jambo basi ujue lina madhara hata kama dunia nzima wakijaribu kulipamba kadri watakavyoweza.

Acha zinaa, safari ijayo utakuja kuleta ushuhuda hapa jukwaani jinsi ulivopata UKIMWI kimasihara na ukasingiziwa kisonono na kaswende juu.
 
Jua tu kuwa mlikuwa mnakula wawili hapi ndio maana imekuwa rahis kumshikisha mwenzio ujauzito wako.

Tumia akili yako usitumie usomi wako utaumia kichwa
 
Mimba sio yako alitaka akubebeshe tu kwa sababu (mwanachuo) ili avimbe mtaani kazaa na mwanachuo na kama unaona nafsi inakusuta basi subiri ajifungue damu ya mtu haipotei mkuu.

Mungu akikataza jambo basi ujue lina madhara hata kama dunia nzima wakijaribu kulipamba kadri watakavyoweza.

Acha zinaa, safari ijayo utakuja kuleta ushuhuda hapa jukwaani jinsi ulivopata UKIMWI kimasihara na ukasingiziwa kisonono na kaswende juu.
 
Uandishi tu holah! mimi nimemaliza darasa la saba, sikufaulu lakini ninakushinda mkuu,

Hivi chuo kikuu huwa hamuandiki kwa mkono maana sio kwa huu mwandiko wako hauna hata paragraph wala salutasio.

Imani yangu inaniambia itakuwa ulikuwa unafanya vizuri kwenye Imla au dictation wakati ule wa la tano C
Mkuu badala ya kutoa ushauri unaanza ku criticize typing duh!
 
Habari zenu wakuu..Kwanza kabisa Mimi Ni kijana,mwanafunzi wa chuo Kikuu flani Hapa mjini Dar.nilikuwa na mpenzi wangu ambaye yeye siyo mwanafunzi..Sasa alipata mimba pasipo kutarajia..mimba hiyo anadai kuwa ya kwangu na binafsi nahis Ivo kwa sababu siku ntakutana nae alikuwa siku za hatar..hatukupanga kusex ila niliforce Sana na tukasex na mm nilikuwa nawithdraw wakati wa kukojoa. Sasa baada ya siku kadhaa kupita akawa haoni siku zake na mwishowe ikabidi aende kupima ndipo akaambiwa ana mimba.

Sasa yeye alipojua kuwa ana mimba akapanic akawa anaforce Mimi niende kwao nkajitambulishe na ikibidi nitoe mahali ili kuondoa aibu kwa wazazi wake kuwa amepata mimba bila kuolewa. Na akawa analazimisha Mimi niwaambie home kwa kipindi hicho ambacho mimi nilikuwa field mkoani.. binafsi nkamwambia asubir mpaka nirud dar then nije kwenu Kwanza tujue Cha kufanya kabla sijawaambia home..yeye akawa hataki kuelewa na basi tukawa tutagombana Sana juu ya hilo.

Mwisho wa siku akasema Kama Mimi sieleweki atajua Cha kufanya..nkamuuliza utafanyaje akasema atajua yeye...basi Mimi nkaendelea kumsisitiza kuwa nikirudi ntakuja kwenu..Sasa Kuna siku akanambia kuwa mpaka ntakaporudi ntakuwa nimeshachelewa, nikamuuliza unamaanisha Nini akasema elewa Ivo Ivo.Bas nikiwa namalizia field Kuna siku akanipigia akanambia kuwa Kuna mtu anakuja kwao kujitambulisha na home walipomuuliza kuhusu mimba amesema ya huyo jamaa aliekuja kujitambulisha..

Sasa nikamuuliza kwahiyo umemwambia kuwa una mimba akasema ndiyo na anajua yake..Sasa sijajua kwamba walisex ili huyu binti atengeneze mazingira ya kumsingizia jamaa au vipi.Mpaka navyoandika Hapa huyu binti yupo kwa jamaa wanalea mimba inayodaiwa kuwa Ni yangu...Sasa Mimi Hapo nifanye je wakuu..binti sikuwa na malengo nae Mana dini zetu tofauti na Bora nisingeondoka najua kuwa ana mimba yangu Kama anavyodai isingekuwa tabu ..lakini Sasa najikuta nakosa Raha juu ya hili wakuu..msaada wa mawazo muhim Sana.
Mtanisamehe kwa ku quote uzi wote lakini 100% mimba siyo yako hii..... Na ungekurupuka ungelea kisicho chako
 
Halafu ukiona hvyo ujue uwanjani wakati wa penalties alikua anaruhusu wote mpige Sasa na yeye aliona atakayekua wa kwanza kushangilia ndio mwenye goal na wewe ulichelewa kushangilia.....kubali matokeo

Acha jamaa achukue ushindi sababu wewe pia hukua na malengo nae
eti wa kwanza kushangilia teh teh teh!
 
Kama Unauhakika Mimba Ni Yako, Subil Ajifungue Na Mtoto Akue Halaf Uanzishe Zogo Hadi Mkapime DNA! Ukikuta Mtoto Ni Wako Unaenda Kusomesha, Full Stop!
Si Ameamua Kumwaga Mboga, Wewe Subil Umwage Ugali!
 
Back
Top Bottom