Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,135
Wasalaam wanajamvi hope mu wazima
Kichwa kha habari kinajieleza.
Labda nifafanue kidogo, asubuhi kabla sijaripoti job nimepigiwa simu na.wadau wangu kuwa Kuna shot imetokea.
Ni kweli nilipofika nimekuta kwenye main switch kumeungua vibaya sana japokuwa zile nyaya Zote tatu hazijaachana, ila ule waya mweusi neutral umekatika kabisa.
Cha ajabu umeme upo na mashine zote zinafanya kazi, je nini madhara maana kitu kiliwekwa kwa sababu maalumu.
Wataalam mnijuze neutral ina kazi gani na nini madhara isipokuwepo.
TANESCO wanapigiwa simu hawapokei maana ndio wenye jukumu la kukata umeme kwenye Transfoma.
NB: Kama hujui jambo pita tu, kejeli haziruhusiwi.
Kichwa kha habari kinajieleza.
Labda nifafanue kidogo, asubuhi kabla sijaripoti job nimepigiwa simu na.wadau wangu kuwa Kuna shot imetokea.
Ni kweli nilipofika nimekuta kwenye main switch kumeungua vibaya sana japokuwa zile nyaya Zote tatu hazijaachana, ila ule waya mweusi neutral umekatika kabisa.
Cha ajabu umeme upo na mashine zote zinafanya kazi, je nini madhara maana kitu kiliwekwa kwa sababu maalumu.
Wataalam mnijuze neutral ina kazi gani na nini madhara isipokuwepo.
TANESCO wanapigiwa simu hawapokei maana ndio wenye jukumu la kukata umeme kwenye Transfoma.
NB: Kama hujui jambo pita tu, kejeli haziruhusiwi.