Wadau binafsi napenda sana JPM anavyopiga kazi ukipita ubungo sasa hv shaaaa! Busisi ikikuwa kero. Serikalini kumenyooka.
Maoni yangu kama serikali inaweza kuunganisha EWURA na REA kuwa kitu kimoja kwa sababu wote wana-deal na huduma za energy.
Kama EWURA kazi yao ku-control mambo ya mafuta na rea kuhakikisha umeme unafika kijijini.
Je, inawezekana kabisa REA na EWURA zikaunganishwa kuwa kitu kimoja ili kupunguza administration cost kwa maana kwamba watakuwa na DG mmoja tu kama ilivyofanya TFDA Kupelekwa TBS?
Maoni yangu kama serikali inaweza kuunganisha EWURA na REA kuwa kitu kimoja kwa sababu wote wana-deal na huduma za energy.
Kama EWURA kazi yao ku-control mambo ya mafuta na rea kuhakikisha umeme unafika kijijini.
Je, inawezekana kabisa REA na EWURA zikaunganishwa kuwa kitu kimoja ili kupunguza administration cost kwa maana kwamba watakuwa na DG mmoja tu kama ilivyofanya TFDA Kupelekwa TBS?