Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kuna msemo usemao kuna baraka huwezi kuzipata ukiwa katika mahusiano ila ukishaoa milango ndiyo inaanza kufunguka na kimaisha inakuwa ndio hatua yako ya kwanza kutoka kimaisha
Je, ni kweli kupitia ndoa unaweza kutoka kimaisha hebu tusaidiane kama ndio kivipi?
Je, ni kweli kupitia ndoa unaweza kutoka kimaisha hebu tusaidiane kama ndio kivipi?