Nzige The Bless
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 988
- 738
Safii Mkuu tumeushtuaNgoja tuustue
Safii Mkuu tumeushtuaNgoja tuustue
Nipe conclusion kwa Mimi ambaye sijausomaDaah huu uzi nimeusoma karibu wote na nimeuelewa Sana, pongezi nyingi Sana kwa mleta uzi
Tunatofautiana mitazamo kikubwa ww tenga muda usome kwa uzur afu utang'amua kipi ukishike uishi nacho either mleta uzi au wakiompingaNipe conclusion kwa Mimi ambaye sijausoma
Mkuu unakula kavu na hamjapima? Daah kuna watu majasiri aisee.Ni kweli, kuna demu nili-date nae mwaka mzima kumbe alikuwa kaungua.(Nilimpima kabisa kuhakikisha). Nikaachana nae then nikakaa miezi kama 7 hivi naogopa kujipima.
Ila kuna siku nikajikaza nikaamua kujipima ila Alhamdulillah niko salama.
he's luck!.Mkuu unakula kavu na hamjapima? Daah kuna watu majasiri aisee.
Nataka kusikia kutoka kwaoTunatofautiana mitazamo kikubwa ww tenga muda usome kwa uzur afu utang'amua kipi ukishike uishi nacho either mleta uzi au wakiompinga
Nipo sambamba na mleta uziNataka kusikia kutoka kwao
Conclusion yako ni ipi
JF ni darasa.nimesoma posts na comments zote za hii tread(Uzi).kwenye hii thread Deception amenifurahisha na kunielimisha.viva JF.
Ndo inavokuwa kama kamali pata potea. Wife sikuwahi kumpima kabla, nlianza kwa kinga baadae tukaenda kavu weeeee mpaka mimba na kuoana.Mkuu unakula kavu na hamjapima? Daah kuna watu majasiri aisee.
Mkuu kiukwel niliowahi kupima nao hawafiki robo ya idadi niliotembea nao.Mkuu unakula kavu na hamjapima? Daah kuna watu majasiri aisee.
Bro naomba unitumie namba yako nashida na wwKuna aina fulani ya vyakula kama utakuwa na mazoea ya kula ndio utafanikiwa kuweka damu sawa.Baadhi ya vyakula hivyo ambavyo vinapatikana hapa kwetu kirahisi ni;
-Limao/lemon/lime
-Mineral water
-Nanasi
-Maboga na hasa mbegu zake
-Vitunguu
-Sea salt
-Viazi vitamu
-Juisi ya mboga za majani hasa zile za kijani sana mfano;spinachi,tembele nk
-Tikiti
-Tufaa/apple
-Broccoli
-Karoti
-Kitunguu saumu
-Tangawizi
-Embe
-Olive oil
-Kabichi
-Parachichi
-Green tea
-Komamanga
-Bilinganya
-Bamia
Vipo vyakula vingi sana,ila hivyo hapo juu ni baadhi ambavyo vina uwezo mkubwa wa kuweka sawa pH ya damu.
Nisadie namb ako ya WhatsApp kwa mawasiliano zaidSwali la msingi sana mkuu;
Mimi nina ndugu yangu nimeshamwachisha ARVs baada ya kuzitumia kwa miaka saba(7 Years).Sasa hivi yuko safi na haumwi chochote miaka imeshapita.Najua kuna watu wajinga watakurupuka na kupinga hili jambo huku wakitoa vitisho,mimi ninayejua nitacheka tu.
Sasa basi;Mtu kama huyo kuna mambo kadhaa anatakiwa kufanya,lakini mwisho wa siku anatakiwa kuacha kabisa kutumia ARVs.Lakini kwa sasa hatakiwi kuziacha ARVs ghafla,narudia tena,hatakiwi kuacha ARVs ghafla mpaka apitie taratibu fulani.Hata wanaotumia madawa ya kulevya kuna taratibu wanapitia ili kuyaacha,sio ghafla tu,ARVs nazo ziko vivyo hivyo.
La msingi hapa;
-Inabidi nijue ana muda gani tangu aanze kutumia ARVs
-Kuna tatizo lolote linalomsumbua kwa sasa?kama lipo/yapo,ni matatizo gani hayo?
Baada ya kujua hayo,ndio nitaanza kukupa ushauri.Lakini si hapa,utani PM.