kuna wengine nyuchi zao hazipendi luxury waachwe tu wavae nailoni zao.Yule mama anayetengeneza pedi za HC aliwahi sema ukipata shida baada ya kutumia product yake umtafute personally na atakupeleka kwa wataalamu wakufanyie examination,ikigundulika ni pad ya HC ndo imekufanya hivo atakulipa gharama zote. She seems much sure with her products
Unataka zikae ngapi 20?
Lolkuna wengine nyuchi zao hazipendi luxury waachwe tu wavae nailoni zao.
Rubiikimimi
Ungeweka hapa basi tuelimike wote..mie najitahidi sana kubadili pad ila huwa zinanichubua sijui kwa nini.natafuta mbadala wake
love thé love or hâte thé love.....
mh wanaume tungekuwa na hali hii ingekuwaje...!!?? poleni.
3500
Kauli za biashara hizi ndugu yanguYule mama anayetengeneza pedi za HC aliwahi sema ukipata shida baada ya kutumia product yake umtafute personally na atakupeleka kwa wataalamu wakufanyie examination,ikigundulika ni pad ya HC ndo imekufanya hivo atakulipa gharama zote. She seems much sure with her products
Wafanyabiashara wote ndio kauli zao hizi...halaf ukishapata kansa hata ukipewa hela zote za duniani zitakusaidia nn?!Yule mama anayetengeneza pedi za HC aliwahi sema ukipata shida baada ya kutumia product yake umtafute personally na atakupeleka kwa wataalamu wakufanyie examination,ikigundulika ni pad ya HC ndo imekufanya hivo atakulipa gharama zote. She seems much sure with her products
Zipo ka dusheYeah, wanamichezo ndio hupendelea kutumia hizo kitu.
Wanawake mna changamoto sana na hii kitu yenu.
Sicheki hapa
duh.kwani unadhani ni mbaya.......unasikia kama umeweka kiyoyozi maeneo.....safi sana.....me i like.....
Itakua hao wanatumia fake.... maana kuna fake pia so vema mtu kununua duka la dawa ndio kuna original.Yule mama anayetengeneza pedi za HC aliwahi sema ukipata shida baada ya kutumia product yake umtafute personally na atakupeleka kwa wataalamu wakufanyie examination,ikigundulika ni pad ya HC ndo imekufanya hivo atakulipa gharama zote. She seems much sure with her products
Enzi za mwalimu you mean vitambaa au....HQ sina hamu nazo... mzunguko na utokaji wa hyo kitu tafrani na zawadi ya kijipu juu.... nmeamua kurudi enzi za mwalimu sahiv nipo salama, sio mambo ya mabaridi bila feni..!