Naomba ni kuulize je kwa yule ambaye damu ya hedhi humtoka bira ratiba maalum shida inakuwa ni nini,Pole yake
Bora ya mie nilipata na ikastop kwa miaka 2,nikaja pata tena,,,hadi leo kupata inakuwa kwa shida sana,
napambana na hili tatizo,mwanzo nilikuwa nachukulia poa
Asee mwenyewe hii shida ilinitokeaga,hadi nikahisi nimerogwaNaomba ni kuulize je kwa yule ambaye damu ya hedhi humtoka bira ratiba maalum shida inakuwa ni nini,
anaweza kuingia leo damu ikikata baada ya siku 4 siku 6 au akitembea umbali mrefu anapata hedhi tena,
๐๐๐ญ๐๐ค๐ ๐ง๐ข๐ฆ๐ฌ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ฆ๐๐ก๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ฆ๐๐๐ง๐ ๐ก๐๐ฉ๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐๐ญ๐ ๐ฆ๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐ค๐ฐ๐๐ค๐ ๐ข๐ง๐๐ฐ๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ
Habari za wakati huu wanajukwaa, natumai Weekend yenu imeanza poa.
Moja kwa moja kwenye mada swali langu ni, je ni kitu cha kawaida mwanamke aliyeko kwenye mid 20s kuwa hajawahi kabisa kuona siku zake tangu abalehe?
Nina rafiki yangu yeye hajawahi kabisa kuexperience menstrual periods tangu abelehe kwa maana kwamba hajawahi kabisa 'kuvunja ungo', wanasema ni ugonjwa ambao kitaalam unaitwa Amenorrhea. Kwa kawaida inajulikana umri wa msichana kuvunja ungo kwa kizazi cha siku hizi, ni kuanzia miaka 10 hadi 18.
Lakini yeye hadi umri huu akiwa kwenye mid 20s, bado hajapitia hiyo stage. Alipofika miaka 14 alianza kuona mabadiliko kwenye mwili wake ambayo ni mabadiliko ya kawaida yale ambayo msichana yoyote anayaona akiwa anabalehe, isipokuwa hilo tu la kuona siku zake.
Alipojaribu kumuelezea mama yake na baadhi ya waalimu wake wa kike wakamuambia kuwa ni kawaida, wanawake wanatofautiana. Wengine wanaenda hadi miaka 18, hata kama kuna mabadiliko mengine walianza kuyaona kabla ya umri huo.
Akaona siyo kesi life likaendelea ila alipofikisha miaka 18 bado akaendelea kuona kimya, ndipo wasiwasi zaidi ukaongezeka na wanaomzunguka kuanza kulichukulia tatizo lake serious. Amejaribu kuenda mahospitalini na kuonana na madaktari bingwa mbalimbali wa wanawake, na kufanya vipimo mbalimbali kuona kama kuna tatizo lolote.
Kila kitu kiko normal maumbile ni mwanamke kabisa aliyekamilika kizazi kipo na hakina shida yoyote, ila ndiyo hivyo tu hajawahi kuexperience hiyo hali! Aliambiwa shida inaweza kuwa ni hormonal imbalances kwamba atakuwa na low oestrogen levels au high testosterone levels, na alishajaribu kuanzishiwa hormone therapy lakini wapi!
Amezunguka makanisani kuombewa, ikidhaniwa pengine ni tatizo la kiroho au amerogwa lakini wapi. Amejaribu kutumia dawa mbalimbali za mitishamba ila hazijamsaidia kitu, hadi mwisho wa siku amekata tamaa na kuendelea kujipa moyo kuwa pengine siku yoyote tu isiyo na jina atapata.
Mwanzo alikuwa anaogopa kuwasimulia watu kuhusu tatizo lake hasa wenzie aliosoma nao boarding, ambao wengine walikuwa wakimuuliza kuwa mbona mwenzetu hatujawahi kuona ukihangaika na hizi sanitary pads hata kwa bahati mbaya. Akawa anazuga tu kuwa yeye kuna miezi anapata na kuna miezi hapati, hivyo ikawa inamlazimu siku nyingine awe anavaa pads kama geresha tu ili wenzie wasihisi kama ana hilo tatizo.
Sasa ndiyo nimelileta hili kwenu wadau kwa niaba yake kutaka kujua kama ni kitu cha kawaida kwamba je kuna wanawake wengi wenye umri huo au zaidi ambao wana huo ugonjwa, au kama kuna mtu anamfahamu mwanamke mwenye huo ugonjwa. Na kama kuna njia nyingine za matibabu (kasoro kwa waganga tu) tofauti na hizo alizozipitia yeye ambazo zinaweza zikamsaidia, basi wajuvi wengine mnaweza kushare hapa tujue namna ya kumsaidia maana inazidi kumpa stress na kumkosesha amani kadiri miaka inavyozidi kuenda.
Mods nisaidieni kuedit kichwa cha uzi kwa kadiri mtakavyoona inafaa. Ila nilitaka kuuliza kama ni kitu cha kawaida na pia kujua msaada mwingine zaidi wa hilo tatizo.
Ajaribu kushika ujauzito Kama itawawezekana. Ajaribu tuuHabari za wakati huu wanajukwaa, natumai Weekend yenu imeanza poa.
Moja kwa moja kwenye mada swali langu ni, je ni kitu cha kawaida mwanamke aliyeko kwenye mid 20s kuwa hajawahi kabisa kuona siku zake tangu abalehe?
Nina rafiki yangu yeye hajawahi kabisa kuexperience menstrual periods tangu abelehe kwa maana kwamba hajawahi kabisa 'kuvunja ungo', wanasema ni ugonjwa ambao kitaalam unaitwa Amenorrhea. Kwa kawaida inajulikana umri wa msichana kuvunja ungo kwa kizazi cha siku hizi, ni kuanzia miaka 10 hadi 18.
Lakini yeye hadi umri huu akiwa kwenye mid 20s, bado hajapitia hiyo stage. Alipofika miaka 14 alianza kuona mabadiliko kwenye mwili wake ambayo ni mabadiliko ya kawaida yale ambayo msichana yoyote anayaona akiwa anabalehe, isipokuwa hilo tu la kuona siku zake.
Alipojaribu kumuelezea mama yake na baadhi ya waalimu wake wa kike wakamuambia kuwa ni kawaida, wanawake wanatofautiana. Wengine wanaenda hadi miaka 18, hata kama kuna mabadiliko mengine walianza kuyaona kabla ya umri huo.
Akaona siyo kesi life likaendelea ila alipofikisha miaka 18 bado akaendelea kuona kimya, ndipo wasiwasi zaidi ukaongezeka na wanaomzunguka kuanza kulichukulia tatizo lake serious. Amejaribu kuenda mahospitalini na kuonana na madaktari bingwa mbalimbali wa wanawake, na kufanya vipimo mbalimbali kuona kama kuna tatizo lolote.
Kila kitu kiko normal maumbile ni mwanamke kabisa aliyekamilika kizazi kipo na hakina shida yoyote, ila ndiyo hivyo tu hajawahi kuexperience hiyo hali! Aliambiwa shida inaweza kuwa ni hormonal imbalances kwamba atakuwa na low oestrogen levels au high testosterone levels, na alishajaribu kuanzishiwa hormone therapy lakini wapi!
Amezunguka makanisani kuombewa, ikidhaniwa pengine ni tatizo la kiroho au amerogwa lakini wapi. Amejaribu kutumia dawa mbalimbali za mitishamba ila hazijamsaidia kitu, hadi mwisho wa siku amekata tamaa na kuendelea kujipa moyo kuwa pengine siku yoyote tu isiyo na jina atapata.
Mwanzo alikuwa anaogopa kuwasimulia watu kuhusu tatizo lake hasa wenzie aliosoma nao boarding, ambao wengine walikuwa wakimuuliza kuwa mbona mwenzetu hatujawahi kuona ukihangaika na hizi sanitary pads hata kwa bahati mbaya. Akawa anazuga tu kuwa yeye kuna miezi anapata na kuna miezi hapati, hivyo ikawa inamlazimu siku nyingine awe anavaa pads kama geresha tu ili wenzie wasihisi kama ana hilo tatizo.
Sasa ndiyo nimelileta hili kwenu wadau kwa niaba yake kutaka kujua kama ni kitu cha kawaida kwamba je kuna wanawake wengi wenye umri huo au zaidi ambao wana huo ugonjwa, au kama kuna mtu anamfahamu mwanamke mwenye huo ugonjwa. Na kama kuna njia nyingine za matibabu (kasoro kwa waganga tu) tofauti na hizo alizozipitia yeye ambazo zinaweza zikamsaidia, basi wajuvi wengine mnaweza kushare hapa tujue namna ya kumsaidia maana inazidi kumpa stress na kumkosesha amani kadiri miaka inavyozidi kuenda.
Mods nisaidieni kuedit kichwa cha uzi kwa kadiri mtakavyoona inafaa. Ila nilitaka kuuliza kama ni kitu cha kawaida na pia kujua msaada mwingine zaidi wa hilo tatizo.