ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,030
- 3,908
Ninafikiria;
Je inawezekana kubinafsisha baadhi ya maeneo ya nchi yawe semi autonomious private state kwa makubaliano maalum?
Kwa mfano mtu kama Bill gate anakabidhiwa Eneo ka Mtwara hivi kwa makubaliano ya kuwekeza katika eneo hilo kama nchi yake kwa kipindi cha lets say miaka 99 kuwa aurtonomous.Yaani anaitwa Mfalme wa Mtwara Nadni Ya Tanzania.Anakuwa tua analipa kodi fulani katika serikali kuu lakini eneo lote,ikiwamo Raia,Ardhi N.K.Inakuwa ni mali yake na inaendeshwa katika Mfumo ambao utakubalika?
UVCCM hawaruhusiwi kuchangia huu uzi
Bavicha sijajua
Je inawezekana kubinafsisha baadhi ya maeneo ya nchi yawe semi autonomious private state kwa makubaliano maalum?
Kwa mfano mtu kama Bill gate anakabidhiwa Eneo ka Mtwara hivi kwa makubaliano ya kuwekeza katika eneo hilo kama nchi yake kwa kipindi cha lets say miaka 99 kuwa aurtonomous.Yaani anaitwa Mfalme wa Mtwara Nadni Ya Tanzania.Anakuwa tua analipa kodi fulani katika serikali kuu lakini eneo lote,ikiwamo Raia,Ardhi N.K.Inakuwa ni mali yake na inaendeshwa katika Mfumo ambao utakubalika?
UVCCM hawaruhusiwi kuchangia huu uzi
Bavicha sijajua