Je inawezekana kutumia barua pepe zaidi ya simu moja?

Raphael gadau

JF-Expert Member
Jan 17, 2017
1,005
303
Hivi inawezekana kutumia barua pepe zaidi ya simu moja (kushare) na isilete matatizo ya kifaa chako maana mm nimeshare barua pepe simu yangu imejilock (Samsung)
 
Kushare maana yake ni kutuma kwa mtu, Kwahiyo wewe simu yako haitaki kutuma emails?
 
Mimefungulia zaidi ya simu moja yaani natumia huawei nkanunua Samsung nayo nkafungulia email hyo hiyo ikajilock
Oooh! Unamaanisha email ikajilock? Inategemea na settings... Kama gmail vifaa viwili tofauti vikifungua hiyo email address inakuletea email kurepoti kua kuna kifaa fulani kimelog in kwenye email yako na kama kuna hatua unataka chukua. Ni defense mechanism, itakua wewe mwenyewe ndo umeilock bila kujua unachofanya, la sivyo haiwezi tu kujilock.
 
Oooh! Unamaanisha email ikajilock? Inategemea na settings... Kama gmail vifaa viwili tofauti vikifungua hiyo email address inakuletea email kurepoti kua kuna kifaa fulani kimelog in kwenye email yako na kama kuna hatua unataka chukua. Ni defense mechanism, itakua wewe mwenyewe ndo umeilock bila kujua unachofanya, la sivyo haiwezi tu kujilock.
Kweli simu mpya s6 imejiloki ulichoongea nililipotiwa kuwa Samsung s6 log your email mimi skutilia maanani nkaendelea kutumia nilpo maliza kuitumia nkaizima kesho nataka nfungue nianze kuitumia nkashangaa imejilock

Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom