Je, Inawezekana Kujifunza Computer knowledge ukiwa Home kipindi hiki cha CORONA

wirewizard1

Senior Member
Jun 28, 2015
160
26
Umofia kwenu..wana Jf..!

Natumai haujambo wote katika kipindi hiki ambacho Dunia yetu..IPO katika Mitihani huu Mkubwa wa Ugonjwa wa Corona.

Nilikuwa Nina Ombi kwenu kama kuna uwezokano wa kufundishwa COMPUTER knowledge kwa ujumla kipindi hiki ukiwa Nyumbani... Kama mnavyojua Shule zimefungwa na hatujui kuwa vipi within next week kama zitafunguliwa au vipi..!!!..Kutokana na hali ya Corona.

Kwa bahati mbaya nimekuja kujua kuwa Computer application ni Muhimu sana kwa Dunia yetu hii ya Leo. Binafsi knowledge yangu ya Computer ni Ndogo. Natumia laptop yangu kutuma E-mails..na kupokea. Pia kutafuta any information ambayo nahitaji...ni hivyo Tu.

Kutokana na hii hali Ndugu zangu naomba Msaada kama itawezekana kujifunza mambo haya Online.. Issue zenyewe ni hizi.... Graphics design... Logo design.... Photoshop design....Business Card Design... Bronchure Design....and how to convert PDF file to word file and vice versa...

Hivyo natanguliza Ombi kwenu kama MTU anajua program hizi zinafundishwa online..ukisoma ukiwa Nyumbani..

Tafadhali anifahamishe nitumie Njia gani within internet kusoma course hizi...Nawasilisha Ombi langu kwenu wana JAMII forum ....KARIBUNI...!!
 
Umofia kwenu..wana Jf..!
Natumai haujambo wote katika kipindi hiki ambacho Dunia yetu..IPO katika Mitihani huu Mkubwa wa Ugonjwa wa Corona...
Nilikuwa Nina Ombi kwenu kama kuna uwezokano wa kufundishwa COMPUTER knowledge kwa ujumla kipindi hiki ukiwa Nyumbani... Kama mnavyojua Shule zimefungwa na hatujui kuwa vipi within next week kama zitafunguliwa au vipi..!!!..Kutokana na hali ya Corona...Kwa bahati mbaya nimekuja kujua kuwa Computer application ni Muhimu sana kwa Dunia yetu hii ya Leo...Binafsi knowledge yangu ya Computer ni Ndogo...Natumia laptop yangu kutuma E-mails..na kupokea.pia.kutafuta any information ambayo nahitaji...ni hivyo Tu..Kutokana na hii hali Ndugu zangu naomba Msaada kama itawezekana kujifunza mambo haya Online.. Issue zenyewe ni hizi.... Graphics design... Logo design.... Photoshop design....Business Card Design... Bronchure Design....and how to convert PDF file to word file and vice versa... Hivyo natanguliza Ombi kwenu kama MTU anajua program hizi zinafundishwa online..ukisoma ukiwa Nyumbani..Tafadhali anifahamishe nitumie Njia gani within internet kusoma course hizi...Nawasilisha Ombi langu kwenu wana JAMII forum ....KARIBUNI...!!
 
Umofia kwenu..wana Jf..!

Natumai haujambo wote katika kipindi hiki ambacho Dunia yetu..IPO katika Mitihani huu Mkubwa wa Ugonjwa wa Corona.

Nilikuwa Nina Ombi kwenu kama kuna uwezokano wa kufundishwa COMPUTER knowledge kwa ujumla kipindi hiki ukiwa Nyumbani... Kama mnavyojua Shule zimefungwa na hatujui kuwa vipi within next week kama zitafunguliwa au vipi..!!!..Kutokana na hali ya Corona.

Kwa bahati mbaya nimekuja kujua kuwa Computer application ni Muhimu sana kwa Dunia yetu hii ya Leo. Binafsi knowledge yangu ya Computer ni Ndogo. Natumia laptop yangu kutuma E-mails..na kupokea. Pia kutafuta any information ambayo nahitaji...ni hivyo Tu.

Kutokana na hii hali Ndugu zangu naomba Msaada kama itawezekana kujifunza mambo haya Online.. Issue zenyewe ni hizi.... Graphics design... Logo design.... Photoshop design....Business Card Design... Bronchure Design....and how to convert PDF file to word file and vice versa...

Hivyo natanguliza Ombi kwenu kama MTU anajua program hizi zinafundishwa online..ukisoma ukiwa Nyumbani..

Tafadhali anifahamishe nitumie Njia gani within internet kusoma course hizi...Nawasilisha Ombi langu kwenu wana JAMII forum ....KARIBUNI...!!
Unaweza kuweka specs za Computer yako? Nenda My computer kisha right click kisha properties
 
Good
Umofia kwenu..wana Jf..!
Natumai haujambo wote katika kipindi hiki ambacho Dunia yetu..IPO katika Mitihani huu Mkubwa wa Ugonjwa wa Corona...
Nilikuwa Nina Ombi kwenu kama kuna uwezokano wa kufundishwa COMPUTER knowledge kwa ujumla kipindi hiki ukiwa Nyumbani... Kama mnavyojua Shule zimefungwa na hatujui kuwa vipi within next week kama zitafunguliwa au vipi..!!!..Kutokana na hali ya Corona...Kwa bahati mbaya nimekuja kujua kuwa Computer application ni Muhimu sana kwa Dunia yetu hii ya Leo...Binafsi knowledge yangu ya Computer ni Ndogo...Natumia laptop yangu kutuma E-mails..na kupokea.pia.kutafuta any information ambayo nahitaji...ni hivyo Tu..Kutokana na hii hali Ndugu zangu naomba Msaada kama itawezekana kujifunza mambo haya Online.. Issue zenyewe ni hizi.... Graphics design... Logo design.... Photoshop design....Business Card Design... Bronchure Design....and how to convert PDF file to word file and vice versa... Hivyo natanguliza Ombi kwenu kama MTU anajua program hizi zinafundishwa online..ukisoma ukiwa Nyumbani..Tafadhali anifahamishe nitumie Njia gani within internet kusoma course hizi...Nawasilisha Ombi langu kwenu wana JAMII forum ....KARIBUNI...!!
You still will need a mentor though.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let say ni
Ram 4GB
Processor 2.0 GHz
Core ni i3
Window ni 10
Hapa unarun photoshop version yoyote mkuu, unaweza kujifunza picha za kawaida hadi animation fupi fupi za sekunde kadhaa.

Na kama unaanza powerpoint na morph feature ni very powerfull kwenye hizi animation fupi fupi unaweza kutengeza logo za video na vimatangazo vya hapa na pale.
Untitled-3.gif
 
Hapa unarun photoshop version yoyote mkuu, unaweza kujifunza picha za kawaida hadi animation fupi fupi za sekunde kadhaa.

Na kama unaanza powerpoint na morph feature ni very powerfull kwenye hizi animation fupi fupi unaweza kutengeza logo za video na vimatangazo vya hapa na pale.
Untitled-3.gif
Mkuu fafanua vizuri apo kwenye kutumia PowerPoint na Morph kwenye kutengeneza izo animation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom