johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,515
Haiwezekani Mbowe ang'ang'anie kuchangisha hela za kumtibia mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni mh Lissu ilhali yeye kama KUB anapaswa kuujua utaratibu wote wa kutibia Wabunge. Sipingi Lissu kuchangiwa bali nashangazwa namna KUB anavyoshindwa kupambania stahiki za kikatiba na kisheria ambazo mbunge Tundu Lissu anazistahili.
Nayasema haya kwa sababu nafahamu ukubwa wa gharama za matibabu katika hospitali za Agakhan. Lissu kulipiwa na bunge au serikali ni haki yake ya msingi siyo hisani na Mbowe ni lazima alielewe hilo.
Chadema wanaweza kutoa sababu za kisiasa lakini ni lazima wakumbuke hapa wanashughulika na maisha ya mtu tena baba mwenye familia yake! Mungu wa mbinguni na amponye mpendwa Tundu Lissu kwa haraka na ampe wepesi wa ushirikiano ndugu Freeman, amen!
Nayasema haya kwa sababu nafahamu ukubwa wa gharama za matibabu katika hospitali za Agakhan. Lissu kulipiwa na bunge au serikali ni haki yake ya msingi siyo hisani na Mbowe ni lazima alielewe hilo.
Chadema wanaweza kutoa sababu za kisiasa lakini ni lazima wakumbuke hapa wanashughulika na maisha ya mtu tena baba mwenye familia yake! Mungu wa mbinguni na amponye mpendwa Tundu Lissu kwa haraka na ampe wepesi wa ushirikiano ndugu Freeman, amen!