jimyjooo
Senior Member
- Feb 2, 2017
- 129
- 66
Hapo aluongelea tu kumbuka Tz wenye uelewa juu ya hifadhi ya jamii ni 3% kuna watu wamesjiriwa ila hawajui. Haiwezeka miaka 33 kiwango cha mshshara kikawa sawa na cha Leo hiyo itakuwa kiama.Kudaadeki kweli bongo maisha magumu, yani m100 miaka 33? Wkt hiyo ni annual income kwa kuosha vyombo majuu!
Anyway akaze na uticha tu
Nalingine hata hawa tunao washabikia kwenda Magogoni tujue wanachangia matokeo ya maisha
Wengi hasa walimu ni wanachama ......