Je inawezekana ccm wanamuanda membe awe mpinzani mkuu 2020 ?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Kuna draft nimejaribu kufatilia tangu mwaka 1995 mrema alipotoka ccm na kuhamia NCCR na kugombea uraisi mwaka 1995 wakati chama kikuu cha upinzani kikiwa NRA

Mwaka 2000 na 2015 lipumba alikuwa mpinzani mkuu kupitia cuf baada ya mrema kupotea kisiasa

Mwaka 2010 dk.slaa alikuwa mpinzani mkuu ambaye alitokea ccm mwaka 1994 na kujiunga na chadema

Mwaka 2015 lowassa alikuwa ni mpinzani mkuu ambaye alitokea ccm mwaka 2015 alijiunga chadema alitokea ccm.

Je kuhusu 2020 ni kweli itakuwa zamu ya membe kweli kuitikisa ccm akiwa kama mpinzani
 
2020 mpinzani mkuu ni Membe atakayekimbilia ACT na 2025 mpinzani mkuu atakua Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe. Na chama cha ACT wazalendo ndio kitakua chama kikuu cha upinzani.

Let wait and see.
 
2020 mpinzani mkuu ni Membe atakayekimbilia ACT na 2025 mpinzani mkuu atakua Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe. Na chama cha ACT wazalendo ndio kitakua chama kikuu cha upinzani.

Let wait and see.
Kuhusu chadema inawezekana mwisho wake ukawa 2020 baada ya ACT ya membe
 
2020 mpinzani mkuu ni Membe atakayekimbilia ACT na 2025 mpinzani mkuu atakua Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe. Na chama cha ACT wazalendo ndio kitakua chama kikuu cha upinzani.
Let wait and see.

Na iwe hivyo aminaa
 
Ata prof. Asad piaa ila muda ndio hakimu
Kuna draft nimejaribu kufatilia tangu mwaka 1995 mrema alipotoka ccm na kuhamia NCCR na kugombea uraisi mwaka 1995 wakati chama kikuu cha upinzani kikiwa NRA

Mwaka 2000 na 2015 lipumba alikuwa mpinzani mkuu kupitia cuf baada ya mrema kupotea kisiasa

Mwaka 2010 dk.slaa alikuwa mpinzani mkuu ambaye alitokea ccm mwaka 1994 na kujiunga na chadema

Mwaka 2015 lowassa alikuwa ni mpinzani mkuu ambaye alitokea ccm mwaka 2015 alijiunga chadema alitokea ccm.

Je kuhusu 2020 ni kweli itakuwa zamu ya membe kweli kuitikisa ccm akiwa kama mpinzani
 
Kuna draft nimejaribu kufatilia tangu mwaka 1995 mrema alipotoka ccm na kuhamia NCCR na kugombea uraisi mwaka 1995 wakati chama kikuu cha upinzani kikiwa NRA

Mwaka 2000 na 2015 lipumba alikuwa mpinzani mkuu kupitia cuf baada ya mrema kupotea kisiasa

Mwaka 2010 dk.slaa alikuwa mpinzani mkuu ambaye alitokea ccm mwaka 1994 na kujiunga na chadema

Mwaka 2015 lowassa alikuwa ni mpinzani mkuu ambaye alitokea ccm mwaka 2015 alijiunga chadema alitokea ccm.

Je kuhusu 2020 ni kweli itakuwa zamu ya membe kweli kuitikisa ccm akiwa kama mpinzani


siku hizi umekuwa mpiga ramli teh teh teh
 
Back
Top Bottom