Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasiasa na Wanasheria, je, inawezekana kuanzisha chama 'kipya' cha kisiasa cha upinzani kiitwacho Jumuiya ya Uzalendo wa Kiafrika, yaani, Tanzania African National Union (TANU)?
no........
hairuhusiwi kisheria...
Mmmh anzisha mwenyewe, wengine sisi sio wanasiasa!Kama inaruhusiwa tukianzishe basi!
no........
hairuhusiwi kisheria...
Go to post number 8, Pasco has just done thatPlease, provide us with the authority such as by quoting sheria za nchi.
Na Je badala ya kukiita Tanganika kikaitwa Tanzania African Union au kikaitwa kwa Lugha ya kiswahili maana sijui kama katiba ya TANU ilifafanua jina la TANU kwa kiswahili-Jumuiya ya Uzalendo wa Kiafrika?
Sheria ya vyama vya siasa iko wazi kuhusu holo, sio tuu hairuhusiwa kuanzisha chama chenye jina la vyama vya zamani, hairuhusiwi hata kuanzisha chama chenye jina linalofanania. yaani kama TANU ilikuwa Tanganyika Africa National Union, hairuhusiwi hata kuanzisha Taa Angazia Njia Umoja-TANU, hakitasajiliwa.
12. (1) No party formed or existing in any part the United Republic prior to
the Union of Tanganyika and Zanzibar or prior to 5th February, 1977, shall be
revived nor shall the name or acronym of such party be used by any political
party to be registered under this Act.
Pasco
Asante sana. Naamini hapa umenukuu sheria ya zamani ya vyama vya siasa. Hii wording tuliipigia kelele sana iondolewe katika Muswada wa Sheria mpya ya vyama vya siasa. Sijui hatma yake ilikuwaje, maana toka ipitishwe na bunge na kupelekwa kwa Rais kusainiwa kuwa sheria sijawahi kuiona tena sheria mpya.
Nakumbuka wakati huo pia kulikuwa na ubishani kuhusu namna sheria inavyobana vyama vya siasa kuungana! Kwamba vyama vikiungana viongozi wote wa kuchaguliwa wa ndani ya vyama hivyo na hata wa kiserikali kama rais, wabunge, madiwani, viongozi wa mitaa, vijiji nk wote wanapoteza nafasi zao na uchaguzi unawajibika kurudiwa kuziba nafasi hizo
JJ
12. (1) No party formed or existing in any part the United Republic prior tothe Union of Tanganyika and Zanzibar or prior to 5th February, 1977, shall berevived nor shall the name or acronym of such party be used by any politicalparty to be registered under this Act.Hivi ndivyo sheria inavyosema, sio jina tuu, hata acronym TANU/ ASP etc, hairuhusiwi ni kinyume cha sheria.