Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,713
- 45,096
Nimemuona askari huyu wa mkoani Kigoma akiwa na rasta kabisa, je taratibu za jeshi la polisi zimebadilika siku hizi? Maana zamani hata ndevu walikuwa hawaruhusiwi
Wanaruhusiwa ila ndevu bado hawaruhusu.. . Naona washakjai kibao hawana ndevu ila madem wana rasta
Wanaume wengi ni wapelelezi aka askari kanzu...hata wanawake wengi wapo kisela au kawaida kumbe ni police..... Kwenye operation ndo utawakuta na silaha kabisa... Ila kawaida wanakua hawana silaha ila wapo kazinMtoa mada anazungumzia , Upande wa wanaume kuwa na Rasta
Hao ni kikosi maalum Cha utekaji na uuaji, wanakuwa watakavyoNimemuona askari huyu wa mkoani kigoma akiwana rasta kabisa, je taratibu za jeshi la polisi zimebadilika siku hizi? Maana zamani hata ndevu walikuwa hawaruhusiwiView attachment 1450732
mbona wamemshindwa kamanda mdude nyangali!!!Hao ni kikosi maalum Cha utekaji na uuaji, wanakuwa watakavyo
Kiboko yao ni Yule jamaa wa Tweeter mwenye picha ya katuni la Jay Z na bendera ya Kenya 🇰🇪mbona wamemshindwa kamanda mdude nyangali!!!
yule sio kiboko,labda ungesema viboko.Kiboko yao ni Yule jamaa wa Tweeter mwenye picha ya katuni la Jay Z na bendera ya Kenya
Naona weledi umekuwa zero kabisa. Sijui akili zao wamezitupa wapi?Hao ni kikosi cha CID hawavai uniform ili wajichanganye na raia kirahisi kupata habari za intelijensia. Lakini siku hizi ni vurugu tupu maana wanashiriki matukio kama haya wakiwa na silaha na kujionyesha waziwazi. Hata lengo la kufanya wasivae uniform limepotea, maana hawa ndio wanatakiwa kutumiwa kama "undercover police" na pengine hata kujifanya ni wahalifu ili kukamata wahalifu.
Niliwahi kusema katika tukio la ujambazi wakiwa na silaha namna hii wanaweza kuuwawa na raia wakidhaniwa ndio majambazi. Lakini polisi wetu uwezo wao wa kufikiri si mkubwa kiasi hicho. Siku hizi mambo yanafanyika kienyeji sana, hasa Polisi. Utii kwa chama tawala umewaharibu sana, maana sasa wanasiasa ndio wanaongoza jeshi la polisi na kulipa amri za oparesheni. Polisi wana spend muda wao mwingi ku monitor twita account za wanasiasa na magazeti ili kujua viongozi wa CCM wamesema nini dhidi ya upinzani wakatekeleze haraka, na wanasahau hata kuangalia ukiukwaji wa taratibu za kipolisi. IGP anatia sana aibu.
Angalia hii thread
IGP Simon Sirro, kwanini askari polisi wanatumwa field na silaha nzito wamevaa kiraia? Kwanini unatuma askari na silaha nyingi tukio dogo la kiraia? - JamiiForums
Sio Rasta tu hata kipara kinaruhisiwa,Nimemuona askari huyu wa mkoani kigoma akiwana rasta kabisa, je taratibu za jeshi la polisi zimebadilika siku hizi? Maana zamani hata ndevu walikuwa hawaruhusiwiView attachment 1450732
Wanaruhusiwa ila ndevu bado hawaruhusu.. . Naona washakjai kibao hawana ndevu ila madem wana rasta
Ndevu pia wanaruhusiwa.Wanaruhusiwa ila ndevu bado hawaruhusu.. . Naona washakjai kibao hawana ndevu ila madem wana rasta
Kuna tatizo sana polisi. Sijui ni ile harufu inaharibu akili?Naona weledi umekuwa zero kabisa. Sijui akili zao wamezitupa wapi?