TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,973
- 15,305
Ukweli wa jambo hili umegawanyika sehemu mbili:
Mosi: Wanaume wengi watulivu, wapole, yaani wale wanaoitwa "husband material" ni watu ambao huwa hawana mbinu wala guts za ku approach na kuwapata wasichana wanaofanana nao i.e watulivu, wapole na wanaoitwa "wife material"! Hii inatokana na ukweli kwamba wanaume wapole huwa pia wana aibu na niwaoga sana wa kutongoza! Upande wa pili, wanawake watulivu huwa ni waoga na wagumu sana kupatikana.. meaning unatakiwa uwe na mbinu za ziada kuweza kuwapata. Hili ni tatizo la kwanza ........................................................................................ eqn. 1
Pili: Wanawake wengi "utulivu ziro" wanawafahamu wanaume ambao ni "husband material", na wanafahamu kwamba ni waoga, na wana aibu. Wanawake hawa hutumia ujanja wao wa mjini kujisogeza karibu na wanaume hawa (kitu ambacho wanawake wapole hawathubutu kufanya kwa kuogopa "nitaonekanaje?") na kuanzisha nao mahusiano pole pole huku wakijua kabisa kwamba wanaume hawa wakishanasa watafanya kila liwezekanalo kuhakikisha hawajinasui! ...................................... eqn. 2
Matokeo yake sasa.. utakuta wanaume wapole, watulivu, wakioa wanawake utulivu sifuri huku wanawake wapole, watulivu wakichukuliwa na wanaume utulivu sifuri ambao ndio hasa wenye mbinu na uthubutu wa kuwafata na kuwatongoza..!
Mosi: Wanaume wengi watulivu, wapole, yaani wale wanaoitwa "husband material" ni watu ambao huwa hawana mbinu wala guts za ku approach na kuwapata wasichana wanaofanana nao i.e watulivu, wapole na wanaoitwa "wife material"! Hii inatokana na ukweli kwamba wanaume wapole huwa pia wana aibu na niwaoga sana wa kutongoza! Upande wa pili, wanawake watulivu huwa ni waoga na wagumu sana kupatikana.. meaning unatakiwa uwe na mbinu za ziada kuweza kuwapata. Hili ni tatizo la kwanza ........................................................................................ eqn. 1
Pili: Wanawake wengi "utulivu ziro" wanawafahamu wanaume ambao ni "husband material", na wanafahamu kwamba ni waoga, na wana aibu. Wanawake hawa hutumia ujanja wao wa mjini kujisogeza karibu na wanaume hawa (kitu ambacho wanawake wapole hawathubutu kufanya kwa kuogopa "nitaonekanaje?") na kuanzisha nao mahusiano pole pole huku wakijua kabisa kwamba wanaume hawa wakishanasa watafanya kila liwezekanalo kuhakikisha hawajinasui! ...................................... eqn. 2
Matokeo yake sasa.. utakuta wanaume wapole, watulivu, wakioa wanawake utulivu sifuri huku wanawake wapole, watulivu wakichukuliwa na wanaume utulivu sifuri ambao ndio hasa wenye mbinu na uthubutu wa kuwafata na kuwatongoza..!