KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wadau Heri ya Mwaka Mpya.
Ikiwa hili ni andiko langu la kwanza katika huu mwaka mpya 2019.
Nimajaliwa yetu kuwa wote mu buheri wa afya njema.
Nirudi katika maudhui ya hili andiko nikweli kichwa cha habari kinajieleza lakini naongeza nama kidogo. Katika kipindi cha hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 tuliona ongezeko la hivi vyombo vya usafiri kama Bodaboda na Bajaj na ukweli vimesaidia katika kufubisha safari pia kufupisha maisha ya vijana wetu kuvunjika na wengine kuwa wezi,majambazi na uharifu mwingi ni wa bodaboda katika mabenki,mitaani Je tukirudi nyumba kuruhusu huu usafiri utumike kama wa umma serikali aikupotea??
Je ni rahisi kuuzuia na kuja na mbinu mbadala maana nasikia kuna nchi walipiga marufuku kuingiza bajaj na bodaboda kama usafiri wa umma.
Na dhani hata hapa tunatakiwa kufanya hivyo bila kujali hawa niwapiga kura wetu.
Ikiwa hili ni andiko langu la kwanza katika huu mwaka mpya 2019.
Nimajaliwa yetu kuwa wote mu buheri wa afya njema.
Nirudi katika maudhui ya hili andiko nikweli kichwa cha habari kinajieleza lakini naongeza nama kidogo. Katika kipindi cha hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 tuliona ongezeko la hivi vyombo vya usafiri kama Bodaboda na Bajaj na ukweli vimesaidia katika kufubisha safari pia kufupisha maisha ya vijana wetu kuvunjika na wengine kuwa wezi,majambazi na uharifu mwingi ni wa bodaboda katika mabenki,mitaani Je tukirudi nyumba kuruhusu huu usafiri utumike kama wa umma serikali aikupotea??
Je ni rahisi kuuzuia na kuja na mbinu mbadala maana nasikia kuna nchi walipiga marufuku kuingiza bajaj na bodaboda kama usafiri wa umma.
Na dhani hata hapa tunatakiwa kufanya hivyo bila kujali hawa niwapiga kura wetu.