Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Habari wakuu,
Nakumbuka huko nyuma vyama vya upinzani vilijinasibu sana kuwa na mtaji mkubwa wa wananchi na kutotegemea ruhusa ya polisi kufanya mikutano au maandamano tujikumbushe tukio lililopelekea kifo cha Mwangosi Iringa tukumbuke tukio lililopelekea kifo cha muuza magazeti Morogoro upinzani walifanya maandamano kinyume cha agizo la jeshi la polisi.
Leo napata shida sana kuona upinzani unalalamika kunyimwa uhuru wa kufanya mikutano na maandamano ya kisiasa, je tangu lini mmekuwa wastarabu kufata maelekezo ya polisi je iko wapi ile people's power mliokuwa mkijisifu nayo au ndo kasi ya Rais Magufuli katika maendeleo imepunguza ule mtaji wenu wa vijana majobless mliowafanya makarai na kuwatumia kwa mtaji wenu wa kisiasa?
Nakumbuka huko nyuma vyama vya upinzani vilijinasibu sana kuwa na mtaji mkubwa wa wananchi na kutotegemea ruhusa ya polisi kufanya mikutano au maandamano tujikumbushe tukio lililopelekea kifo cha Mwangosi Iringa tukumbuke tukio lililopelekea kifo cha muuza magazeti Morogoro upinzani walifanya maandamano kinyume cha agizo la jeshi la polisi.
Leo napata shida sana kuona upinzani unalalamika kunyimwa uhuru wa kufanya mikutano na maandamano ya kisiasa, je tangu lini mmekuwa wastarabu kufata maelekezo ya polisi je iko wapi ile people's power mliokuwa mkijisifu nayo au ndo kasi ya Rais Magufuli katika maendeleo imepunguza ule mtaji wenu wa vijana majobless mliowafanya makarai na kuwatumia kwa mtaji wenu wa kisiasa?