Je, ikitokea Lowassa akapelekwa mahakama ya mafisadi, UKAWA wenzangu hamtalalamika kweli?

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,449
Sote tunajua namna na jinsi viongozi wetu walivyotuaminisha kwamba Lowassa ni fisadi na hadi kwenye list of shame alitajwa pale Mwembeyanga sote watu wa UKAWA kijumla tukaimba huo wimbo sana takribani miaka 8 ghafla bin vuu Lowassa akawa mgombea wa urais kupitia kwa waliomwita fisadi, eti tumebadili gia angani.

Hadi mzee ninayemheshimu na nitamuheshimu kwenye siasa Dr. Slaa akaondoka kwenye chama kwa kuwa hakuwa tayari kumpaka mtu rangi, anyway niachane na hayo maana ilikuwa ni kukumbushana tu.

Sasa uzi wangu nauliza je ikitokea Lowassa akapelekwa mahakama ya mafisadi ina maana UKAWA wenzangu hamtalalamika kwamba anaonewa kwa sababu yupo upinzani?

Nauliza hivo kwa sababu juzi hapo sheria imefuata mkondo wake kwa Sumaye watu mmelalama kwamba anaonewa kwa kuwa tu yupo upinzani na pia hivi karibuni imekaliliwa kwamba mahakama ya mafisadi imekosa kesi, watu wanapaza sauti na kupiga mayowe kwamba basi Lowassa sio fisadi kwa kuwa hajapelekwa huko na hata mwaka jana wakati wa uchaguzi mtu wa ukawa yeyote ukimwambia Lowassa ni fisadi basi kinga yake kuu ni "mbona hapelekwi mahakamani" hivi leo hii akipelekwa hamtalalamika?

Mi nadhani Rais Magufuli hajaamua kufanya siasa za visasi na ndio maana alisema hafukui makaburi nina uhakika akishitakiwa Lowassa leo hii walewale wanaosema kama ni fisadi apelekwe mahakamani watalalamika sana na kusema anaonewa kwa sababu tu ni mpinzani.

Christmas njema.
 
Sote tunajua namna na jinsi viongozi wetu walivyotuaminisha kwamba Lowasa ni fisadi na hadi kwenye list of shame alitajwa pale mwembeyanga.sote watu wa ukawa kijumla tukaimba huo wimbo sana takribani miaka 8...ghafra bin vuu Lowasa akawa mgombea wa uraisi kupitia kwa waliomwita fisadi,eti tumebadili gia angani.

Hadi mzee ninayemheshimu na ntamuheshimu kwenye siasa Dr.slaa akaondoka kwenye chama ,kwa kuwa hakuwa tayari kumpaka mtu rangi,anyway niachane na hayo maana ilikuwa ni kukumbushana tu.

Sasa uzi wangu nauliza je ikitokea Lowasa akapelekwa mahakama ya mafisadi ina maana Ukawa wenzangu hamtalalamika kwamba anaonewa kwa sababu yupo upinzani?nauliza hivo kwa sababu juzi hapo sheria imefuata mkondo wake kwa Sumaye watu mmelalama kwamba anaonewa kwa kuwa tu yupo upinzani.na pia hivi karibuni imekaliliwa kwamba mahakama ya mafisadi imekosa kesi,watu wanapaza sauti na kupiga mayowe kwamba basi Lowasa sio fisadi ,kwa kuwa hajapelekwa huko.na hata mwaka jana wakati wa uchaguzi mtu wa ukawa yeyote ukimwambia Lowasa ni fisadi basi kinga yake ku ni "mbona hapelekwi mahakamani".hivi leo hii akipelekwa hamtalalamika??

Mi nadhani Magufuri hajaamua kufanya siasa za visasi na ndio maana alisema hafukui makaburi.nina uhakika akishitakiwa Lowasa leo hii.walewale wanaosema kama nifisadi apelekwe mahakamani watalalamika sana na kusema anaonewa kwa sababu tu ni mpinzani...

Xmas njema.
Lowassa aende JK awe salama? JPM na samaki na meli mbovu nae awe salama?CCM itaanguka na si CHADEMA
 
Sote tunajua namna na jinsi viongozi wetu walivyotuaminisha kwamba Lowasa ni fisadi na hadi kwenye list of shame alitajwa pale mwembeyanga.sote watu wa ukawa kijumla tukaimba huo wimbo sana takribani miaka 8...ghafra bin vuu Lowasa akawa mgombea wa uraisi kupitia kwa waliomwita fisadi,eti tumebadili gia angani.

Hadi mzee ninayemheshimu na ntamuheshimu kwenye siasa Dr.slaa akaondoka kwenye chama ,kwa kuwa hakuwa tayari kumpaka mtu rangi,anyway niachane na hayo maana ilikuwa ni kukumbushana tu.

Sasa uzi wangu nauliza je ikitokea Lowasa akapelekwa mahakama ya mafisadi ina maana Ukawa wenzangu hamtalalamika kwamba anaonewa kwa sababu yupo upinzani?nauliza hivo kwa sababu juzi hapo sheria imefuata mkondo wake kwa Sumaye watu mmelalama kwamba anaonewa kwa kuwa tu yupo upinzani.na pia hivi karibuni imekaliliwa kwamba mahakama ya mafisadi imekosa kesi,watu wanapaza sauti na kupiga mayowe kwamba basi Lowasa sio fisadi ,kwa kuwa hajapelekwa huko.na hata mwaka jana wakati wa uchaguzi mtu wa ukawa yeyote ukimwambia Lowasa ni fisadi basi kinga yake ku ni "mbona hapelekwi mahakamani".hivi leo hii akipelekwa hamtalalamika??

Mi nadhani Magufuri hajaamua kufanya siasa za visasi na ndio maana alisema hafukui makaburi.nina uhakika akishitakiwa Lowasa leo hii.walewale wanaosema kama nifisadi apelekwe mahakamani watalalamika sana na kusema anaonewa kwa sababu tu ni mpinzani...

Xmas njema.
Nakushangaa ndugu yangu
 
Magufuli hafanyi siasa za visasi wakati anaanzisha mahakama hiyo lengo lilikuwa ni EL vipi leo hafanyi siasa za visasi?##bring back our ben alive##
sheria iliyoanzisha hiyo mahakama inahusu tuhuma baada ya sheria kupitishwa na wala siyo kabla ya hapo hivyo kudai ilianzishwa kwa visasi ni ubumbumbu wako wa sheria
 
Sote tunajua namna na jinsi viongozi wetu walivyotuaminisha kwamba Lowasa ni fisadi na hadi kwenye list of shame alitajwa pale mwembeyanga.sote watu wa ukawa kijumla tukaimba huo wimbo sana takribani miaka 8...ghafra bin vuu Lowasa akawa mgombea wa uraisi kupitia kwa waliomwita fisadi,eti tumebadili gia angani.

Hadi mzee ninayemheshimu na ntamuheshimu kwenye siasa Dr.slaa akaondoka kwenye chama ,kwa kuwa hakuwa tayari kumpaka mtu rangi,anyway niachane na hayo maana ilikuwa ni kukumbushana tu.

Sasa uzi wangu nauliza je ikitokea Lowasa akapelekwa mahakama ya mafisadi ina maana Ukawa wenzangu hamtalalamika kwamba anaonewa kwa sababu yupo upinzani?nauliza hivo kwa sababu juzi hapo sheria imefuata mkondo wake kwa Sumaye watu mmelalama kwamba anaonewa kwa kuwa tu yupo upinzani.na pia hivi karibuni imekaliliwa kwamba mahakama ya mafisadi imekosa kesi,watu wanapaza sauti na kupiga mayowe kwamba basi Lowasa sio fisadi ,kwa kuwa hajapelekwa huko.na hata mwaka jana wakati wa uchaguzi mtu wa ukawa yeyote ukimwambia Lowasa ni fisadi basi kinga yake ku ni "mbona hapelekwi mahakamani".hivi leo hii akipelekwa hamtalalamika??

Mi nadhani Magufuri hajaamua kufanya siasa za visasi na ndio maana alisema hafukui makaburi.nina uhakika akishitakiwa Lowasa leo hii.walewale wanaosema kama nifisadi apelekwe mahakamani watalalamika sana na kusema anaonewa kwa sababu tu ni mpinzani...

Xmas njema.
Richmond ni ya Kikwete sasa atapelekwa kwa kosa gani?
 
Mkuu alikataza Kufukua Makaburi wewe husikii kuna Makaburi mengi mengine yana mazombi humo embu anza Kufukua hivi vikaburi vya Nyumba za Serekali na Boti ya bagamoyo Dar
Mabehewa chakavu,chenji ya Rada,bomba la gesi,Lugumi na madili kibao waanzie huko kwanza kabla hawaendelea na kukariri Lowasa ni Fisadi wakati Mmiliki wa Richmond ni Kikwete ambaye alimwalika Obama akaitakasa mitambo kule Ubungo baada ya kuwa wamelisawazisha Dili kwa kutoka Richmond kwenda Dowan kisha symbion ili mladi kuwahadaa watanzania wadijue mchongo ulivyokaa..
 
sheria iliyoanzisha hiyo mahakama inahusu tuhuma baada ya sheria kupitishwa na wala siyo kabla ya hapo hivyo kudai ilianzishwa kwa visasi ni ubumbumbu wako wa sheria
Tofautisha sheria na kuwepo mahakama maalum ya ufisadi..Sheria inayopinga ufisadi ilitungwa zamani na iliendana na kuanzishwa kwa TAKURU na Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma..wewe utakua mhaya uchwara
 
Mabehewa chakavu,chenji ya Rada,bomba la gesi,Lugumi na madili kibao waanzie huko kwanza kabla hawaendelea na kukariri Lowasa ni Fisadi wakati Mmiliki wa Richmond ni Kikwete ambaye alimwalika Obama akaitakasa mitambo kule Ubungo baada ya kuwa wamelisawazisha Dili kwa kutoka Richmond kwenda Dowan kisha symbion ili mladi kuwahadaa watanzania wadijue mchongo ulivyokaa..
Wewe ndo unajua mchongo ulivyokaa? Unasubiri nini kupeleka ushahidi kwenye mamlaka husika?
 
Sote tunajua namna na jinsi viongozi wetu walivyotuaminisha kwamba Lowasa ni fisadi na hadi kwenye list of shame alitajwa pale mwembeyanga.sote watu wa ukawa kijumla tukaimba huo wimbo sana takribani miaka 8...ghafra bin vuu Lowasa akawa mgombea wa uraisi kupitia kwa waliomwita fisadi,eti tumebadili gia angani.

Hadi mzee ninayemheshimu na ntamuheshimu kwenye siasa Dr.slaa akaondoka kwenye chama ,kwa kuwa hakuwa tayari kumpaka mtu rangi,anyway niachane na hayo maana ilikuwa ni kukumbushana tu.

Sasa uzi wangu nauliza je ikitokea Lowasa akapelekwa mahakama ya mafisadi ina maana Ukawa wenzangu hamtalalamika kwamba anaonewa kwa sababu yupo upinzani?nauliza hivo kwa sababu juzi hapo sheria imefuata mkondo wake kwa Sumaye watu mmelalama kwamba anaonewa kwa kuwa tu yupo upinzani.na pia hivi karibuni imekaliliwa kwamba mahakama ya mafisadi imekosa kesi,watu wanapaza sauti na kupiga mayowe kwamba basi Lowasa sio fisadi ,kwa kuwa hajapelekwa huko.na hata mwaka jana wakati wa uchaguzi mtu wa ukawa yeyote ukimwambia Lowasa ni fisadi basi kinga yake ku ni "mbona hapelekwi mahakamani".hivi leo hii akipelekwa hamtalalamika??

Mi nadhani Magufuri hajaamua kufanya siasa za visasi na ndio maana alisema hafukui makaburi.nina uhakika akishitakiwa Lowasa leo hii.walewale wanaosema kama nifisadi apelekwe mahakamani watalalamika sana na kusema anaonewa kwa sababu tu ni mpinzani...

Xmas njema.
Haipaswi apelekwe Kwasababu za kisasi,kama anapelekwa Mahakamani Basi Ni Kwa mujibu wa Sheria ili kuona kama alimisuse office au lah.

Kusema Rais hajawa na kisasi cha kumpeleka mahakamani Ni kukosa weledi.
 
Lowasa hana kosa bali kuna watu wameshindwa kufuta Alikilini walivyovikariri kichwani mwao.
Ana kosa km ilivyothibitishwa na mahakama ya kibunge (tume) na hukumu yake ya kufukuzwa uwaziri mkuu akaipata.
 
Mkuu alikataza Kufukua Makaburi wewe husikii kuna Makaburi mengi mengine yana mazombi humo embu anza Kufukua hivi vikaburi vya Nyumba za Serekali na Boti ya bagamoyo Dar
Kama mtu atakamata mafisadi, hakuna anayeweza kubakia ndani na nje ccm akiwemo mkamataji mwenyewe.
 
Back
Top Bottom