Unatk aanze kuuza pombe ikulu
Ushasema wa moyo wako sasa hapo anahusikaje mkuuRais wa Moyo wangu lowasa sijamuona hapo
Shida ni kabila lako au shida ni uelewa wakoSi Ameniuliza na Mimi nimejibu. Kila mtu anajibu kwa jinsi alivolielewa swali.
Kuna makabila Yana shida? Basi wewe kabila lako ni shida.Shida ni kabila lako au shida ni uelewa wako
Walimu waongezwe mshahara wanakazi ngumuKuna makabila Yana shida? Basi wewe kabila lako ni shida.
Bila shaka wewe ni mjaluo na wajaluo siyo wabantuKuna makabila Yana shida? Basi wewe kabila lako ni shida.
Me mwenyewe mwalimu. Asante kwa kutufanyia utetezi na hivi Mei mosi inakaribiaWalimu waongezwe mshahara wanakazi ngumu
Yaani ww ni mkabila Sana. Nyerere hapendi ujueBila shaka wewe ni mjaluo na wajaluo siyo wabantu
Tatizo ni mgumu kuelewaYaani ww ni mkabila Sana. Nyerere hapendi ujue