Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Kwa mtazamo wangu hao watu wanatakiwa wawe wameshaondoka uongozini kwani wao ndio viongozi wa karibu wa askari hao waliofanya unyama.
Ni aibu kwa mawaziri kujiuzuru kama watu waliotao amri na watekelezeji wakuu wakiachwa na akiwepo na yule askari aliyekuwa kiongozi wa operation tokomeza nchini
Ni aibu kwa mawaziri kujiuzuru kama watu waliotao amri na watekelezeji wakuu wakiachwa na akiwepo na yule askari aliyekuwa kiongozi wa operation tokomeza nchini