Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Wakuu nawaomba mnipatie mawazo yakinifu ili nisiendelee kukwazika juu ya mahakama hii.
Kila kukicha utasikia Al-Bashir akamatwe apelekwe huko,mara Nkunda na wengine wengi tu.
Sasa lini tutamsiki Blair ,Bush na watu kama hao wanatiwa nguvuni kupelekwa huko?
Tafadhali nifungueni macho..
Kila kukicha utasikia Al-Bashir akamatwe apelekwe huko,mara Nkunda na wengine wengi tu.
Sasa lini tutamsiki Blair ,Bush na watu kama hao wanatiwa nguvuni kupelekwa huko?
Tafadhali nifungueni macho..