Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
Waziri mkuu wa Uingereza Mh Theresa May
akiwa nchini Kenya kwa ziara ya kikazi .
Unayo hoja mkuutatizo tutaongea naye lugha gani?
tatizo tutaongea naye lugha gani?
tatizo tutaongea naye lugha gani?
Kweli eeeee ?Kiswahili kwani wale wengine si huwa mnakitumia hicho hicho kiswahili halafu mnatazama kama mtu anaongea na viziwi?
shida ipo apo sasa!tatizo tutaongea naye lugha gani?
Anayo tumia mamako na babako ndio itatumikatatizo tutaongea naye lugha gani?
Masikini nchi yetu !Wakija Africa utasikia wamepita South Africa, Nigeria, Kenya then wanasepa. Tanzania ya Magufuli ni kama hawaitambui kama ipo
Kwani jiwe hajui kizungu?tatizo tutaongea naye lugha gani?
Kuna wakati Clinton alisema baada ya Nyerere Tanzania ilikaa miaka kumi bila raisWakija Africa utasikia wamepita South Africa, Nigeria, Kenya then wanasepa. Tanzania ya Magufuli ni kama hawaitambui kama ipo
Tupo vizuliii. Tutembee vifua mbereeeMasikini nchi yetu !
Usipotembelea watu, nao watakupita hivi hivi!Waziri mkuu wa Uingereza Mh Theresa May View attachment 851559akiwa nchini Kenya kwa ziara ya kikazi .
asante sana mkuu , kwahiyo trip nyingine tutegemee kutembelewaHata kama Jiwe ana matatizo, lakini naona wengi mnashindwa kuelewa protocol za ziara. Tangu inatangazwa kwamba May anakuja Afrika zilitajwa nchini alizotembelea tu, Afrika Kusini, Nigeria na Kenya sasa atakujaje Tanzania while we are not listed? The same tu
Angela Merkel wa Germany yupo Afrika na alianza na Senegal then anakwenda Nigeria tujifunze kujua protocol za ziara za viongozi wa nje hawaeze kupitia nchi ambayo hawajapanga apite. Na pia first lady wa Marekani anakuja Afrika, lakini Tanzania haijatajwa kama ataitembelea.
Kuna wakati Clinton alisema baada ya Nyerere Tanzania ilikaa miaka kumi bila rais
nisamehe mkuu , nimejiulizia tu kizembe baba .Kabla hajatoka London alishasema nchi atakazo tembelea na Tz haikuwepo usilete hoja zisizo kuwa na mashiko hapa
Sent using Jamii Forums mobile app