JE Huyu Mzee ni Kweli Atafika kwenye Safari yake?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,266
33,039
10500429_773335216053986_7796398032854823005_n.jpg
 
MziziMkavu Ungemshauri aanze safari yake mida ya usiku! Asubuhi hii kuna traffic wa torch wengi sana njia hiyo!
 
Last edited by a moderator:

Mkuu Mzizi mkavu umenifanya nicheke sana mpaka mbavu zimeuma baada ya kutafakari akili za huyu babu kwenye huu mchezo wa kuteleza kwenye barafu huko ulaya ila yeye anatumia nyenzo za makuti na makoro koro mengine ambayo haya wakati wa medieval time hayakutumika na mababu kutelezea kwenye barafu.
attachment.php
 

Attachments

  • AHAHAA.jpg
    AHAHAA.jpg
    81.2 KB · Views: 1,637
Imenipa mawazo mengi sana, laaah sijui ila kwangu nimewaza tofauti kabisa nimeingiwa na huruma sana
 
Pole pole ndiyo mwendo.

Haraka haraka haina baraka.

Haba na haba hujaza kibaba.

KiafrikaAfrika tu, atafika maana hata misemo yetu, imejaa ubabu babu.
 
kuna tofauti kati ya mtu anayejaribu na mtu ambaye hajaribu kabisa. Mzee kajaribu
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom