Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,479
- 12,247
Upo Dar tu hapo unadhani ndo mwisho wa dunia, Siku ukifika newyork si utajiona upo mawinguni.Tatizo watangazaji wa mikoani sio wabunifu, wanapenda kuiga swaga na sauti za watangazaji wa Redio/TV za Dar.
By the way ubunifu upo ndani ya mtu, haupo Dar es salaam, hao unaodhani ni watangazaji wa Dar walitokea mikoani kwenye local media wakaja Dar.... learn the history dogo....