Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Jamani mtaacha wangapi,hapo mtoto wakike anatingisha kiberiti kuhakikisha kama kimejaa,Mnakata tamaa kwa vitu vidogo anza kuongea nae kawaida bila kuweka maneno ya hisia baada ya muda ataanza yeye.
Nakubaliana na we Uporoto.....mwanaume uwe strong....mbadilikie kidogo kama wiki hivi uone....ashakuzoea na vile ushamtambulisha basi kiburi kiko juu.....she is on top of the world.....muonyeshe kiberiti kimejaa......!!!