Namche Bazar
Senior Member
- Apr 8, 2019
- 105
- 152
Labda anachelewa kukufungulia geti huwa anamkamua mkeo kimya kimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo umeanza kumtafuna hivyo ashajiona mke.
huyo havuti bangi,ila anasukuma bangi!!Ninaishi nje kidogo ya mji ambako nimejenga kanyumba kadogo tu ka kunisitiri.
Ninaishi na mvulana wa kazi ambaye huwa ananisaidia shughuli za nyumbani kama usafi, kupika, kuangalia nyumba nk
Juzi asubuhi nilikuwa natoka, akanifungulia geti, wakati narudisha gari nyuma nikaona analifunga geti, nikamuuliza mbona unafunga geti? Akanijibu nilidhani umeshatoka.
Jana nimechelewa kurudi, nikakaa getini kama dakika kumi, nimepiga sana honi, hakufungua, nikapiga Simu yake akawa hapatikani.
Nikachukia jiwe na kuanza kugonga geti, hatimaye akaja kunifungulia.
Nikaingiza gari ndani, niliposhuka akaanza kunigombeza kwanini namharibia usingizi, akaenda mbali kwa kusema kuwa kuzurura usiku ni tabia mbaya nitakutana na Malaya wanipe ukimwi.
Leo nimerudi jioni hii, ananiambia gesi imeisha hivyo mtungi ameutupa jalalani.
Uzuri ni kwamba jalala liko humu humu ndani ya uzio.
Hivi huyu angekuwa house boy wako ungemwelewaje?
Umenena vyemahuyo havuti bangi,ila anasukuma bangi!!
Wewe jamaa ni bingwa wa kutunga comedy😂😂😂😂😂Ninaishi nje kidogo ya mji ambako nimejenga kanyumba kadogo tu ka kunisitiri.
Ninaishi na mvulana wa kazi ambaye huwa ananisaidia shughuli za nyumbani kama usafi, kupika, kuangalia nyumba nk
Juzi asubuhi nilikuwa natoka, akanifungulia geti, wakati narudisha gari nyuma nikaona analifunga geti, nikamuuliza mbona unafunga geti? Akanijibu nilidhani umeshatoka.
Jana nimechelewa kurudi, nikakaa getini kama dakika kumi, nimepiga sana honi, hakufungua, nikapiga Simu yake akawa hapatikani.
Nikachukia jiwe na kuanza kugonga geti, hatimaye akaja kunifungulia.
Nikaingiza gari ndani, niliposhuka akaanza kunigombeza kwanini namharibia usingizi, akaenda mbali kwa kusema kuwa kuzurura usiku ni tabia mbaya nitakutana na Malaya wanipe ukimwi.
Leo nimerudi jioni hii, ananiambia gesi imeisha hivyo mtungi ameutupa jalalani.
Uzuri ni kwamba jalala liko humu humu ndani ya uzio.
Hivi huyu angekuwa house boy wako ungemwelewaje?
Khaaaaaaa hii nomaAchana na mm we dingi, kama vipi we nifukuze tu ila ujue nitatoa siri kuwa unafuga misukule humu ndani😆😆
ningempa kesi yoyote kubwa kubwa kama ya wizi wa milion 600 hivi ili akawafokee na manyapara jelaNinaishi nje kidogo ya mji ambako nimejenga kanyumba kadogo tu ka kunisitiri.
Ninaishi na mvulana wa kazi ambaye huwa ananisaidia shughuli za nyumbani kama usafi, kupika, kuangalia nyumba nk
Juzi asubuhi nilikuwa natoka, akanifungulia geti, wakati narudisha gari nyuma nikaona analifunga geti, nikamuuliza mbona unafunga geti? Akanijibu nilidhani umeshatoka.
Jana nimechelewa kurudi, nikakaa getini kama dakika kumi, nimepiga sana honi, hakufungua, nikapiga Simu yake akawa hapatikani.
Nikachukia jiwe na kuanza kugonga geti, hatimaye akaja kunifungulia.
Nikaingiza gari ndani, niliposhuka akaanza kunigombeza kwanini namharibia usingizi, akaenda mbali kwa kusema kuwa kuzurura usiku ni tabia mbaya nitakutana na Malaya wanipe ukimwi.
Leo nimerudi jioni hii, ananiambia gesi imeisha hivyo mtungi ameutupa jalalani.
Uzuri ni kwamba jalala liko humu humu ndani ya uzio.
Hivi huyu angekuwa house boy wako ungemwelewaje?
Ningekuwa nimetenda dhambi ya kimakusudi. Ningehukumiwa sana na dhamira yangu. Ningehukumiwa na walimwengu, ningehukumiwa hadi na shetani mwenyewe kabla sijahukumiwa na Mungu Babaningempa kesi yoyote kubwa kubwa kama ya wizi wa milion 600 hivi ili akawafokee na manyapara jela
Hahah haha haha yupo mama mzazi, mama watoto na watoto wenyeweSwali langu nikwamba kwann hataki upate ukimwi? Na lingine je HAPO nyumbani unaishi na mama?
Una stress, kasome maandishi ya bujiWewe jamaa ni bingwa wa kutunga comedy😂😂😂😂😂