Je, huyu house boy atakuwa anavuta bangi?

Ninaishi nje kidogo ya mji ambako nimejenga kanyumba kadogo tu ka kunisitiri.

Ninaishi na mvulana wa kazi ambaye huwa ananisaidia shughuli za nyumbani kama usafi, kupika, kuangalia nyumba nk

Juzi asubuhi nilikuwa natoka, akanifungulia geti, wakati narudisha gari nyuma nikaona analifunga geti, nikamuuliza mbona unafunga geti? Akanijibu nilidhani umeshatoka.

Jana nimechelewa kurudi, nikakaa getini kama dakika kumi, nimepiga sana honi, hakufungua, nikapiga Simu yake akawa hapatikani.

Nikachukia jiwe na kuanza kugonga geti, hatimaye akaja kunifungulia.

Nikaingiza gari ndani, niliposhuka akaanza kunigombeza kwanini namharibia usingizi, akaenda mbali kwa kusema kuwa kuzurura usiku ni tabia mbaya nitakutana na Malaya wanipe ukimwi.

Leo nimerudi jioni hii, ananiambia gesi imeisha hivyo mtungi ameutupa jalalani.

Uzuri ni kwamba jalala liko humu humu ndani ya uzio.

Hivi huyu angekuwa house boy wako ungemwelewaje?
huyo havuti bangi,ila anasukuma bangi!!
 
Ninaishi nje kidogo ya mji ambako nimejenga kanyumba kadogo tu ka kunisitiri.

Ninaishi na mvulana wa kazi ambaye huwa ananisaidia shughuli za nyumbani kama usafi, kupika, kuangalia nyumba nk

Juzi asubuhi nilikuwa natoka, akanifungulia geti, wakati narudisha gari nyuma nikaona analifunga geti, nikamuuliza mbona unafunga geti? Akanijibu nilidhani umeshatoka.

Jana nimechelewa kurudi, nikakaa getini kama dakika kumi, nimepiga sana honi, hakufungua, nikapiga Simu yake akawa hapatikani.

Nikachukia jiwe na kuanza kugonga geti, hatimaye akaja kunifungulia.

Nikaingiza gari ndani, niliposhuka akaanza kunigombeza kwanini namharibia usingizi, akaenda mbali kwa kusema kuwa kuzurura usiku ni tabia mbaya nitakutana na Malaya wanipe ukimwi.

Leo nimerudi jioni hii, ananiambia gesi imeisha hivyo mtungi ameutupa jalalani.

Uzuri ni kwamba jalala liko humu humu ndani ya uzio.

Hivi huyu angekuwa house boy wako ungemwelewaje?
Wewe jamaa ni bingwa wa kutunga comedy😂😂😂😂😂
 
Ninaishi nje kidogo ya mji ambako nimejenga kanyumba kadogo tu ka kunisitiri.

Ninaishi na mvulana wa kazi ambaye huwa ananisaidia shughuli za nyumbani kama usafi, kupika, kuangalia nyumba nk

Juzi asubuhi nilikuwa natoka, akanifungulia geti, wakati narudisha gari nyuma nikaona analifunga geti, nikamuuliza mbona unafunga geti? Akanijibu nilidhani umeshatoka.

Jana nimechelewa kurudi, nikakaa getini kama dakika kumi, nimepiga sana honi, hakufungua, nikapiga Simu yake akawa hapatikani.

Nikachukia jiwe na kuanza kugonga geti, hatimaye akaja kunifungulia.

Nikaingiza gari ndani, niliposhuka akaanza kunigombeza kwanini namharibia usingizi, akaenda mbali kwa kusema kuwa kuzurura usiku ni tabia mbaya nitakutana na Malaya wanipe ukimwi.

Leo nimerudi jioni hii, ananiambia gesi imeisha hivyo mtungi ameutupa jalalani.

Uzuri ni kwamba jalala liko humu humu ndani ya uzio.

Hivi huyu angekuwa house boy wako ungemwelewaje?
ningempa kesi yoyote kubwa kubwa kama ya wizi wa milion 600 hivi ili akawafokee na manyapara jela
 
ningempa kesi yoyote kubwa kubwa kama ya wizi wa milion 600 hivi ili akawafokee na manyapara jela
Ningekuwa nimetenda dhambi ya kimakusudi. Ningehukumiwa sana na dhamira yangu. Ningehukumiwa na walimwengu, ningehukumiwa hadi na shetani mwenyewe kabla sijahukumiwa na Mungu Baba
 
52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom