Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 476
- 962
Wasalamu!
Leo Mheshimiwa Rais Magufuli amemteua Dkt Bashiru Ally Kakurwa kuwa katibu kiongozi lakini hapo hapo amemteua tena kuwa balozi.
Sijaelewa mantiki ya kuteuliwa kuwa katibu mkuu na hapo hapo kuteuliwa kuwa balozi
Atatumikia kipi kati ya hivi viwili?
Wataalaamu wa mambo mtupe darasa hapa.
Maendeleo hayana chama.
Leo Mheshimiwa Rais Magufuli amemteua Dkt Bashiru Ally Kakurwa kuwa katibu kiongozi lakini hapo hapo amemteua tena kuwa balozi.
Sijaelewa mantiki ya kuteuliwa kuwa katibu mkuu na hapo hapo kuteuliwa kuwa balozi
Atatumikia kipi kati ya hivi viwili?
Wataalaamu wa mambo mtupe darasa hapa.
Maendeleo hayana chama.