Andindile
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 304
- 16
Wakati nasafiri kwenda ng'ambo niliacha kwenye account yangu sh. million 7 katika moja ya benki hapa nchini. Niliishi huko kwa muda wa miaka minne. Baada ya kurejea nilikuta account yangu imefungwa kwa kigezo kuwa nilikaa zaidi ya miezi 6 bila kuihudumia.
Iwapo walifunga account yangu, je pesa zangu hawakuzifanyia biashara yoyote?
Na kama walikuwa wanazifanyia biashara, je faida iliyopatikana si ya dhuruma?
Je naweza kudai riba kutoka benki kwa kutumia pesa yangu kwa kipindi chote hicho ambacho account yangu ilifungwa?
naomba msaada wenu
Iwapo walifunga account yangu, je pesa zangu hawakuzifanyia biashara yoyote?
Na kama walikuwa wanazifanyia biashara, je faida iliyopatikana si ya dhuruma?
Je naweza kudai riba kutoka benki kwa kutumia pesa yangu kwa kipindi chote hicho ambacho account yangu ilifungwa?
naomba msaada wenu