Je huu ni utapeli wa makampuni ya simu?

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Kuna mchezo unafanywa na makampuni ya simu wa kuwaibia watu! Simu yangu ilikuwa haipandishi mnara/inapoteza network. Nikaenda kampuni moja (siitaji kwa sasa).

Nikawaeleza tatizo wakasema hiyo imefungiwa tumbukiza kwenye dust bin/pipa hapo tukupe Itel ya 22,000 Tsh. Nikakataa maana simu yangu ni genuine by all standards.

Nikaenda kwa mafundi wa simu wakaniambia hiyo inahita network kuwa updated (Siyo kuflush tafadhali, that is against the law). Nikafanikiwa.
Nimeacha watu wanatumbukiza simu kwa kwenda mbele. Jioni mnasort out mnachukua zenye maana, una update network!???????

Wataalamu tuelimishe tafadhali.
 
Kuna mchezo unafanywa na makampuni ya simu wa kuwaibia watu! Simu yangu ilikuwa haipandishi mnara/inapoteza network. Nikaenda kampuni moja (siitaji kwa sasa).

Nikawaeleza tatizo wakasema hiyo imefungiwa tumbukiza kwenye dust bin/pipa hapo tukupe Itel ya 22,000 Tsh. Nikakataa maana simu yangu ni genuine by all standards.

Nikaenda kwa mafundi wa simu wakaniambia hiyo inahita network kuwa updated (Siyo kuflush tafadhali, that is against the law). Nikafanikiwa.
Nimeacha watu wanatumbukiza simu kwa kwenda mbele. Jioni mnasort out mnachukua zenye maana, una update network!???????

Wataalamu tuelimishe tafadhali.
Simu yako ni aina gani tukusaidie
 
1. kuflash simu huvunji sheria, sababu
-simu haiwezi kuwekwa os hadi iflashiwe inamaana simu yako inawaka sababu mtengeneza simu ameiflash
-unapopokea update za simu ili zifanye kazi inabidi uziflash kwenye memory ya simu
-simu ikizingua ukiipeleka customer care nako inaenda kuflashiwa

kama ipo hio sheria ya kuflash inayokataza inamaana simu zote hapa nchini ni haramu, na zinatakiwa tuzikabidhi polisi zote. hata laptop, desktop zinazotumia ssd (ni flash memory) unapoeka windows una flash.

kinachokatazwa na TCRA ni kubadili IMEI, ukiflash hubadili imei, wale wanaobadili wanakua wamedhamiria kabisa kufanya hivyo ni issue nyengine hii.

2. inawezekana hao mafundi wanataka kukubadilishia imei nao una simu genuine wataibadili kuwa kimeo hivyo hapa pia kuwa makini.

3. mtandao wa simu hahusiki na simu fake na original hasa wale watu wa customare care wengi uwezo wao ni mdogo tumia njia ya TCRA kuangalia simu yako kama ni original na usiwatumie wao.

4. zipo case simu zinafanya kazi kwenye mtandao mmoja na mtandao mwengine haufanyi kazi nakushauri tafuta line ya mtandao mwengine halafu jaribu kama itapandisha network
 
1. kuflash simu huvunji sheria, sababu
-simu haiwezi kuwekwa os hadi iflashiwe inamaana simu yako inawaka sababu mtengeneza simu ameiflash
-unapopokea update za simu ili zifanye kazi inabidi uziflash kwenye memory ya simu
-simu ikizingua ukiipeleka customer care nako inaenda kuflashiwa

kama ipo hio sheria ya kuflash inayokataza inamaana simu zote hapa nchini ni haramu, na zinatakiwa tuzikabidhi polisi zote. hata laptop, desktop zinazotumia ssd (ni flash memory) unapoeka windows una flash.

kinachokatazwa na TCRA ni kubadili IMEI, ukiflash hubadili imei, wale wanaobadili wanakua wamedhamiria kabisa kufanya hivyo ni issue nyengine hii.

2. inawezekana hao mafundi wanataka kukubadilishia imei nao una simu genuine wataibadili kuwa kimeo hivyo hapa pia kuwa makini.

3. mtandao wa simu hahusiki na simu fake na original hasa wale watu wa customare care wengi uwezo wao ni mdogo tumia njia ya TCRA kuangalia simu yako kama ni original na usiwatumie wao.

4. zipo case simu zinafanya kazi kwenye mtandao mmoja na mtandao mwengine haufanyi kazi nakushauri tafuta line ya mtandao mwengine halafu jaribu kama itapandisha network
Asante, kwa maelezo mazuri sana. Nilimsikia yule wa TCRA anasema mafundi jiepushe na kuflush simu ni kosa la jinai. Nimekuelewa vizuri , kwa hiyo watu niliowaona wengi wanatapeliwa simu zao. Wapo waliokuwa na tatizo kama langu na wote wametumbukiza kwenye pipa!
 
yes zinafanana
ulipo tuma TCRA imei ya simu yako inakubal
1. kuflash simu huvunji sheria, sababu
-simu haiwezi kuwekwa os hadi iflashiwe inamaana simu yako inawaka sababu mtengeneza simu ameiflash
-unapopokea update za simu ili zifanye kazi inabidi uziflash kwenye memory ya simu
-simu ikizingua ukiipeleka customer care nako inaenda kuflashiwa

kama ipo hio sheria ya kuflash inayokataza inamaana simu zote hapa nchini ni haramu, na zinatakiwa tuzikabidhi polisi zote. hata laptop, desktop zinazotumia ssd (ni flash memory) unapoeka windows una flash.

kinachokatazwa na TCRA ni kubadili IMEI, ukiflash hubadili imei, wale wanaobadili wanakua wamedhamiria kabisa kufanya hivyo ni issue nyengine hii.

2. inawezekana hao mafundi wanataka kukubadilishia imei nao una simu genuine wataibadili kuwa kimeo hivyo hapa pia kuwa makini.

3. mtandao wa simu hahusiki na simu fake na original hasa wale watu wa customare care wengi uwezo wao ni mdogo tumia njia ya TCRA kuangalia simu yako kama ni original na usiwatumie wao.

4. zipo case simu zinafanya kazi kwenye mtandao mmoja na mtandao mwengine haufanyi kazi nakushauri tafuta line ya mtandao mwengine halafu jaribu kama itapandisha network
TCRA Hawajui kuflash simu tunawapa elimu hawataki hawawezi kutofautisha SP LOCK(THIS IS A PHONE LOCK SET BY USER),NETWORK LOCK(THIS IS SET BY NETWORK PROVIDER) REPAIR OR REBULID AND CHANGE OF imei hapo ndiyo patamu ni kosa kisheria kubadili imei lakini unaruhusiwa ku rebuild ama ku repair imei coz kwenye simu huwa zina corrupt hata simu original zilizo nyingi ni samsung zimefungiwa sababu imei zake zime haribika. kwenye MTK CPU ndo usiseme ukifanya factory reset imei inaondoka FLASHING IS WRITING AND ERASING A FIRMWARE TO A PHONE Sababu za kuflash simu 1.huwa ina stuck 2.Bilinking and restarting{kukonyeza na kuzima} magonjwa ni mengi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom