mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Kunatatizo linanisumbua sana, tatizo lenyewe ni kwamba ninapokuwa na mwanamke, kabla ya kufanya lile tendo mashine huwa inasimama sana lakini pale nikitaka ku Do tu mashine inalala,hii inasababishwa na nini?
Nimeshaulizia kwa madokta lakini wanasema ni phsychological problems, kutokuwa na hisia, lakini mpaka sasa hali hii inaendelea tuu, nakosa raha kabisa naomba mnisaidie juu ya hili, sababu haikuanza muda mrefu lakini imeshajitokeza sana.
Asubuhi jogoo kama kawaida anawika,tatizo nikwamba nikitaka ku doo tu,analala!!
Nimeshaulizia kwa madokta lakini wanasema ni phsychological problems, kutokuwa na hisia, lakini mpaka sasa hali hii inaendelea tuu, nakosa raha kabisa naomba mnisaidie juu ya hili, sababu haikuanza muda mrefu lakini imeshajitokeza sana.
Asubuhi jogoo kama kawaida anawika,tatizo nikwamba nikitaka ku doo tu,analala!!