masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,140
View attachment 126036
Nimeikuta hii kitaa cha Mwenge /Mikocheni huko.
Jamaa hana helmet, kabeba mzigo oversize-tena wenye ncha kali!
-abiria kabeba mzigo kinamna!
-mbaya zaidi pikipiki ikipata mwendo tunaoufahamu rahisi jamaa kupaa hewani kwa principles za aerodynamics!!!
Wakati mwingine maswali haya lazima tujiulize,je huu ni ujasiriamali au ubahili, ujinga au mtu anataka kujinyonga barabarani?
Nimeikuta hii kitaa cha Mwenge /Mikocheni huko.
Jamaa hana helmet, kabeba mzigo oversize-tena wenye ncha kali!
-abiria kabeba mzigo kinamna!
-mbaya zaidi pikipiki ikipata mwendo tunaoufahamu rahisi jamaa kupaa hewani kwa principles za aerodynamics!!!
Wakati mwingine maswali haya lazima tujiulize,je huu ni ujasiriamali au ubahili, ujinga au mtu anataka kujinyonga barabarani?