KIFPA
Member
- Oct 3, 2012
- 64
- 18
WW mbwiga ndio maana huwa kuna vikao vya ndani hapo hadharani mnaulizana maswali ili iweje, kama ni sawa na sisi tuna maswali mengi tu yakumuuliza yeye hadharani kulingana na wadhifa wake aruhusu aone kama hataaibika, Muwe mnafikiria angekuwa mama yako yule ww sasa hivi ungekuwa na hali gani? Furahieni tu ngoja na ww siku ukiulizwa.Bwana Pascali. Swali aliloulizwa yule mama mara tatu mfululizo tena kwa kuonywa juu ya majibu yake kwa Rais si swali baya kwa MKURUGENZI.
Haiwezekani mkurugenzi asijue ameletewa pesa kiasi gani kwa ajili ya BARABARA na akiba iliyopo ni kiasi gani.
Mkurugenzi anatakiwa afahamu akiba ya pesa zote alizonazo kila siku. Anatakiwa afahamu mapato na matumizi on daily basis.
Tatizo ni kuteua wakurugenzi ambao hawajawahi fanya kazi serikalini hivyo kutojua nini cha kufanya ofisini. Badala yake anataka mhasibu ndiye amsemee kwa bosi wake kwamba kuna pesa kiasi gani.
Isitoshe, Pesa za Halmashauri hazipo kwenye makundi mengi. Sana sana ni pesa ya barabara, Maji, Afya, Makusanyo ya ndani na miradi mingineyo ya hapa na pale.