Je, huu ni mwanzo wa Tanzania kuporomoka kiuchumi?

Haya tuanze kw mpangilio, namb moja ulitizama habari ya ITV juzi kuhusu bandari kavu?
Ndo mana nikasema you base your thread on weak argument. Hivi taarifa ya ITV unaweza ukaitumia kama indicator ya mambo yanayoendelea? Hilo ni swala la kiuchumi zaidi na kuna many facts behind it. Ukitaka kutoa ushahidi wa mambo ya kiuchumi kupitia chombo kama ITV naomba kwanza utizame channel za kimataifa kama Bloomberg jinsi habari za kichumi zinavotakiwa ziwe. Ndo mana nikasema 80% ya ulichoandika huwezi kukitolea ushahidi.
 
Ndo mana nikasema you base your thread on weak argument. Hivi taarifa ya ITV unaweza ukaitumia kama indicator ya mambo yanayoendelea? Hilo ni swala la kiuchumi zaidi na kuna many facts behind it. Ukitaka kutoa ushahidi wa mambo ya kiuchumi kupitia chombo kama ITV naomba kwanza utizame channel za kimataifa kama Bloomberg jinsi habari za kichumi zinavotakiwa ziwe. Ndo mana nikasema 80% ya ulichoandika huwezi kukitolea ushahidi.
Bandari kavu zinapokuambia zinataka kupunguza watu maana yake nini na nini effect yake miaka 2 au 3 ijayo
 
Habari ya kiuchumi lazima kwanza kuwe na well written report ambayo imeandikwa na mtu mwenye taaluma yake anayejua mambo ya uchumi vizuri. Halafu katika presentation lazima kuwe na wataalam ambao wanaweza kueleza economic theory behind it. Mimi hizo habari zenu sijui ITv wala sinaga mda nazo. eti proof ya kupungua mizigo ni picha inayoonesha uchache wa magari halafu unaniambia ndo ushaihidi wako huo.. Sad
 
Ukifanya comparative analysis ya kipindi cha sasa na cha tawala nyingine kwa kipindi kama hichi. Bado huu utawala umeshafanya mengi sana. Sema kuna watu tumegundua ni mabingwa wa kufanya lobbying kupinga juhudi zote zinazofanywa na Rais akati watu wenye akali wanaona mengi yana manufaa kwa taifa.

Mkuu, Naamini na wewe unajitahidi sana uonekane kwenye 18 za wakuu ili angalao upate kacheo flan hivi. Sawa endelea kujibaraguza huenda nawe ukaukwaa hata u katibu kata.
Tumeshaomba, mtu usije hapa jf na kutoa hoja za mkupuo. Ati "utawala umefanya mengi" taja kitu flan kilichofanywa. Hiyo ndio kutetea kilichofanywa sio yamefanywa mengi. Mimi kwa siku moja naamka, nanawa uso, nanywa chai,naenda shamba, nalima, nang'oa magugu etc. Hayo sio mengi?? Haya, taja yaliyofanyika kwa kipindi hiki utaje na yalofanywa kipindi hicho. Bila data jf just keep quiet.
 
Nadhani wananchi waliokuwa wanaishi kwa deal na uongo uongo serikali hii haitakuwa rafiki. Tatizo wananchi wanataka kuona wao tu ndio wananeemeka na familia zao zinapata na kusaza ila sio taifa liendelee, lazima tujifunge mkanda kuliendeleza Taifa letu hata tusipoona manufaa sasa vizazi vyetu vitatuhukumu vema kwamba tulijaribu....Hii iwe tofauti na ubinafsi kwa watu wachache kunufaika na keki ya Taifa, naamini hata gap la maskini na wenye nyingi litapungua maana wengi walitajirika kwa deal deal...
 
Ukifanya comparative analysis ya kipindi cha sasa na cha tawala nyingine kwa kipindi kama hichi. Bado huu utawala umeshafanya mengi sana. Sema kuna watu tumegundua ni mabingwa wa kufanya lobbying kupinga juhudi zote zinazofanywa na Rais akati watu wenye akali wanaona mengi yana manufaa kwa taifa.
Ungejalibu kuyataja hayo mengi mazuri
 
Habari ya kiuchumi lazima kwanza kuwe na well written report ambayo imeandikwa na mtu mwenye taaluma yake anayejua mambo ya uchumi vizuri. Halafu katika presentation lazima kuwe na wataalam ambao wanaweza kueleza economic theory behind it. Mimi hizo habari zenu sijui ITv wala sinaga mda nazo. eti proof ya kupungua mizigo ni picha inayoonesha uchache wa magari halafu unaniambia ndo ushaihidi wako huo.. Sad
Mimi nimeonyesh yanayotokea na nikaomba maelezo ya wenye uelewa watoe elimu ila naona kama umevamia fulani hivi bila kusoma na kuelewa topic hu mchezo hautaki hasira na kukurupuka mkuu ahahaha
 
Bandari kavu zinapokuambia zinataka kupunguza watu maana yake nini na nini effect yake miaka 2 au 3 ijayo
Wanapokuambia sijui nani kasema.. ila from business point of view kama mtu anapunguza wafanyakazi ina maana hatengenezi faida au running cost zimekuwa kubwa. Lakini hilo pia ni decision ya mfanyabiashara mwenyewe wala huwezi kuitumia kama indicator ya uchumi wa taifa zima. Ingawa nakubali kwamba employment ni suala la uchumi mpana wa taifa bado haitoshi hiyo pekee bila takwimu za namba ya wafanyakazi na indicator nyingine.
 
Tangu mwaka huu uanze kumekuwa na mambo fulanifulani yanayoendelea hasa katika uelekeo hasi hali ambayo inatupa wasiwasi kidogo huku mtaani.

Mfano
1: Bandari kukosa kazi na wafanyakazi wa bandari kavu kuanza kupunguzwa

2. Madaktari wa interns kufutiwa posho

3. Madaktari sekta binafsi kupunguziwa mshahara kwa 30%

4. Viwanda kupunguza wafanyakazi

5. Ajira za serikali kusitishwa

6. Kuyumba kwa sekta ya utalii

7. Wanafunzi kucheleweshewa mikopo

8. Mabenki kunyang'anywa pesa za serikali, baadhi ya mabenki yanaweza kufa kwa kuwa hayakuwa na mitaji ya kutosha

8. Kudumaa kwa sekta ya usafiri wa anga

9. Biashara kuwa ngumu mitaani
10. N.k

Naomba watalamu mbalimbali watusaidie kuelewa haya yanayoendelea na nini matokeo yake baada ya miaka 2 au 3 ijayo...

Tafadhari kama huna mchango chanya bora kukaa kimya tuwape nafasi waelewa
Niko na Msigwa tunapokea madawati elfu 60, kutoka kwa Magufuli ingawa sisi UKAWA hatukuchangia hata mia
 
Ndo mana nikasema you base your thread on weak argument. Hivi taarifa ya ITV unaweza ukaitumia kama indicator ya mambo yanayoendelea? Hilo ni swala la kiuchumi zaidi na kuna many facts behind it. Ukitaka kutoa ushahidi wa mambo ya kiuchumi kupitia chombo kama ITV naomba kwanza utizame channel za kimataifa kama Bloomberg jinsi habari za kichumi zinavotakiwa ziwe. Ndo mana nikasema 80% ya ulichoandika huwezi kukitolea ushahidi.

Unamaliza nguvu kubishana na mtu asiyejua principles za uchumi..
 
Wanapokuambia sijui nani kasema.. ila from business point of view kama mtu anapunguza wafanyakazi ina maana hatengenezi faida au running cost zimekuwa kubwa. Lakini hilo pia ni decision ya mfanyabiashara mwenyewe wala huwezi kuitumia kama indicator ya uchumi wa taifa zima. Ingawa nakubali kwamba employment ni suala la uchumi mpana wa taifa bado haitoshi hiyo pekee bila takwimu za namba ya wafanyakazi na indicator nyingine.
Good unakujakuja sasa maana nimeomba elimu, ok vip wenye mahoteli kupunguz watu, baadhi ya viwanda na serikali kama muajiri mkuu kusitisha ajira mpy nini madhara yake mkuu kwa miaka 2 ijayo
 
Bandari kavu zinapokuambia zinataka kupunguza watu maana yake nini na nini effect yake miaka 2 au 3 ijayo

Udororo wa kiuchumi unaujua au unausikia?? Nenda bucha ya hapo mtaani kwenu ulizia kama nyama bado anauza kama ilivyokuwa siku zote au kiwango kimeshuka.. Hayo yote uliyoyahainisha kama kweli yangekuwa yameathiri uchumi wa nchi tayari purchasing power ingeshapungua.. Vipi kuna mtu amepaki gari nyumbani na anapanda daladala kwa kukosa pesa ya mafuta??
 
Mkuu, Naamini na wewe unajitahidi sana uonekane kwenye 18 za wakuu ili angalao upate kacheo flan hivi. Sawa endelea kujibaraguza huenda nawe ukaukwaa hata u katibu kata.
Tumeshaomba, mtu usije hapa jf na kutoa hoja za mkupuo. Ati "utawala umefanya mengi" taja kitu flan kilichofanywa. Hiyo ndio kutetea kilichofanywa sio yamefanywa mengi. Mimi kwa siku moja naamka, nanawa uso, nanywa chai,naenda shamba, nalima, nang'oa magugu etc. Hayo sio mengi?? Haya, taja yaliyofanyika kwa kipindi hiki utaje na yalofanywa kipindi hicho. Bila data jf just keep quiet.
Wala sitaki cheo chochote ndugu.. jicorrect kwanza.. Mimi ni mtu nisiyeendeshwa kama ng'ombe. penye ukweli nasimamia bila kujali namsimamia nani. Na penye uongo na uchochezi daima ntasimama. Wala usinichukulie vibaya ndugu. Na nipo serious kuhusu hili. Mimi wala sigangi njaa naongea kwa facts
 
Wala sitaki cheo chochote ndugu.. jicorrect kwanza.. Mimi ni mtu nisiyeendeshwa kama ng'ombe. penye ukweli nasimamia bila kujali namsimamia nani. Na penye uongo na uchochezi daima ntasimama. Wala usinichukulie vibaya ndugu. Na nipo serious kuhusu hili. Mimi wala sigangi njaa naongea kwa facts
Hapa kuna uchochezi mkuu?
 
Back
Top Bottom