Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Ikiwa ndivyo hivyo basi na tusubirie muda...Hakuna kitu kama hicho
Ikiwa ndivyo hivyo basi na tusubirie muda...Hakuna kitu kama hicho
Kawe alumni ,etwege nkBia yetu,Jinga lao njooni huku mumtee ndugu yenu makonda!!
Huyuhuyu Bashite? Aiseeee hana kesi ?
Kuna kale kademu kanaitwa cocochannelKawe alumni ,etwege nk
Huenda ndie mama KeaganKuna kale kademu kanaitwa cocochannel
Kila comment yake alimaliza na makonda oyee sujui kako wapi
InawezekanaHuenda ndie mama Keagan
Ni kweli kabisa, ila wakati wa Kikwete alikuwa tishio.Makonda bila Magufuli si tishio chochote. Wanaweza kumfunga kwa sababu ushahidi uko nje nje.
kha! wewe mzima kweli kichwani au usukuma unakusumbua?Sisiemu wakijaribu kwa makonda
ndio itakua mwisho wao pia
Maana unatakiwa kua uwe una tuhuma za kumfunga ukweli ukweli
Siasa ni kitu kipana sana ambacho wengi wetu hatuelewi tunajiandikia tunayo jisiki bila kuufanyia kazi ukweli wa kisiasa.Tanzania Rais anaweza kukufanya chochote wakati wowote na usifanye chochote.
Mifano halisi ni tukio la Akwilina na Tundu Lissu.
Kwanza jamii yetu sasa hivi ina hulka ya kuabudu ( idolize ) wenye pesa na madaraka.
Kwao mtu mwenye madaraka hakosei, hata akikosea hadharani utaambia alikuwa na nia nzuri ila wasaidizi wake ndio waliamwangusha.
Ukweli ni kwamba mambo aliyofanya Makonda akitumwa na Magu, lakini wakitaka kumwangushia jumba bovu ni dakika zero tu na hatakuwa na cha kufanya.
Acha uzushi.Siasa ni kitu kipana sana ambacho wengi wetu hatuelewi tunajiandikia tunayo jisiki bila kuufanyia kazi ukweli wa kisiasa.
Kumshambulia mtuu wa kanda ya Magharibi wakati huu, inataka ufanye timing ya kutosha. Ikumbukwe Mikoa 15 yenye 77% ya watanzania iliungana kwa pamoja na kwa ukaribu wa kutisha na Marehemu Magufuli.
Mikoa ya Mara,Mwanza Simiyu, Shinyanga, Geita, Kagera, Tabora, Rukwa, Katavi, Mbeya, Iringa, Dodoma Lindi, Ruvuma, Pwani,Tanga na Mtwara.
Kuna ukaribu tunaushuhudia kutoka maeneo hayo kuungana kuhakikisha Magufuli anabakiwa na legacy yake without being tainted.
Mama ni mwana siasa analijua hilo. Hawezi kufanya lolote labda 2026. Sana sana atatoa upendeleo ambao hatuufikirii kwa miradi na kutembelea kikazi .
Anaelekea Mwanza na bado kuna Mikoa hiyo hiyo ya Magharibi bado atatembelea wakati Mikoa mingine hatotoa muda wa kutosha kuitembelea na kuipa miradi Mikubwa .
ema hivi hivi, lakini sasa hivi ananyea debeSisiemu wakijaribu kwa makonda
ndio itakua mwisho wao pia
Maana unatakiwa kua uwe una tuhuma za kumfunga ukweli ukweli
Nilikuwa naitukanaga Sana ile ID kwa posts zake sijui alikuwa bashite mwenyeweKuna kale kademu kanaitwa cocochannel
Kila comment yake alimaliza na makonda oyee sujui kako wapi