Monseur
JF-Expert Member
- Dec 5, 2016
- 655
- 522
Nauliza hivi kwa Sababu nimeshuhudia maeneo mengi ya Dar es Salam yakitawaliwa na kiza kuanzia mwanzoni mwa wiki iliyopita. Kwa mfano majuzi maeneo ya Kigogo mwisho hayakuwa na umeme siku nzima. Jana tarehe 27/10 Makumbusho hakukuwa na umeme.
Na Leo tena tarehe 28/10 Kuanzia mchana hadi Usiku huu navyoandika uzi huu maeneo ya Kigogo Kati yote kilio ni hicho hicho.
Kama ni mgao umerudi kimyakimya ni vyema Mkurugenzi wa TANESCO auhabarishe Uma ili turudi tulikotoka , kwenye biashara ya Magenerator. SERIKALI hii ilituahidi kuwa mgao wa umeme ungebaki kuwa historia, Sasa veeeppe!!!
Na Leo tena tarehe 28/10 Kuanzia mchana hadi Usiku huu navyoandika uzi huu maeneo ya Kigogo Kati yote kilio ni hicho hicho.
Kama ni mgao umerudi kimyakimya ni vyema Mkurugenzi wa TANESCO auhabarishe Uma ili turudi tulikotoka , kwenye biashara ya Magenerator. SERIKALI hii ilituahidi kuwa mgao wa umeme ungebaki kuwa historia, Sasa veeeppe!!!