Je huu ndio Utaifa wa mwigulu McKenna?

kamanda mkuu

Member
Aug 5, 2011
15
4
Ni muda umepita tangu uchaguzi wa igunga umalizike,kuna huyu jamaa anaeitwa mwigulu nchemba alikuwa anagawa hela siku ya uchaguzi,tulipo pewa habari tulianza safari ya kufuatilia kwenye kata ya bukoko tulipofika tukaambiwa alikuwepo ila tayari kaelekea kijiji cha simbo tulipowapigia takukuru hawakuja ndipo tukaamua kwenda wenyewe tukamkuta njiani anarudi,tulimfokea sana na aache mara moja vinginevyo ingekuwa mengine,sasa Kama ccm wanajiamini kwanini watumie hela?p
 
Ni muda umepita tangu uchaguzi wa igunga umalizike,kuna huyu jamaa anaeitwa mwigulu nchemba alikuwa anagawa hela siku ya uchaguzi,tulipo pewa habari tulianza safari ya kufuatilia kwenye kata ya bukoko tulipofika tukaambiwa alikuwepo ila tayari kaelekea kijiji cha simbo tulipowapigia takukuru hawakuja ndipo tukaamua kwenda wenyewe tukamkuta njiani anarudi,tulimfokea sana na aache mara moja vinginevyo ingekuwa mengine,sasa Kama ccm wanajiamini kwanini watumie hela?p

Palipo na udhia penyeza rupia
 
Back
Top Bottom